Recent content by Ngonepi

  1. Ngonepi

    Wanaume wenzangu hivi mkitoka out siku ya kwanza huwa mnapiga stori gani? Nimeachwa mara ya pili hii kwa kukosa 'interesting story'

    Tatizo unapania sana! Kuwa 'komfotabo' na ongea kama vile sio demu ambaye una kiu nae!!
  2. Ngonepi

    Laini za uwakala

    Nauza line zangu za uwakala Tigo, Aitel na Halotel nipo Kuvule Ukonga Daressalaam
  3. Ngonepi

    Mliopo Dar es Salaam kuna kitu kinapita maeneo yenu angani

    Upo mkoa gani!? Nipo Msongola jimbo la Ukonga Daressalaam sioni unachoona angani!!
  4. Ngonepi

    Mwijaku: Diamond nitakupiga hutoamini

    Uzuri wake Mondi alishavuka kwenye kujibizana na haters wake!!
  5. Ngonepi

    Nimeenda Chanika. Ni mbali sana, mnaokaa huko mpewe maua yenu

    Mtoto wa mama ulifata nini huku!?
  6. Ngonepi

    Master Jay achukizwa na wanaopiga picha misibani

    Analialia kila siku kama mtoto wa kike!!
  7. Ngonepi

    Hawa ‘Wakimbizi walioteuliwa kwenye nafasi za maamuzi’ ni kina nani?

    Magu mwenywe hakuwa Raia wa nchi yetu!! Hatujawahi kuwana Mtanzania katili mfano wake!!
  8. Ngonepi

    Haya Chukueni hii kuhusu 'Derby' ya Kesho ( Leo ) tarehe 5 Novemba, 2023 Mkapa Stadium

    Wakuu nimenunua tiketi ya mzunguko wa N-card wamenipa mpaka namba ya siti! Hofu yangu nikwamba inazingatiwaje kujua mimi ni Yanga au Kolo maana mule watu hukaa kila timu na upande wake!!
  9. Ngonepi

    Simba Yanga kesho hakuna mbabe

    Napataje tickets wakuu!?
  10. Ngonepi

    TANZIA DJ Steve B afariki dunia

    Rest eazy Stivie B.
  11. Ngonepi

    Naytrueboy, mwanamuziki aliyewahi kuwa maarufu na tajiri amefilisika baada ya kujiunga CHADEMA

    Nay wa Mitego, mwanamuziki pendwa zaidi Tanganyika!!!!
Back
Top Bottom