Mimi ni mgeni mji huu japo na nakaribia kufunga mwaka 1 hapa Tanga ni mwenyeji wa Mbeya , kutokana na changamoto nilizo zipata wakati nipo Mbeya ilinilazimu kuondoka bila kupenda kuja huku, Kuna jamaa yangu aliniunganisha na kazi ya kiwandani, kiwanda Cha cement, wakati naaza kazi niliona...