Recent content by ngoma ya ukae

  1. ngoma ya ukae

    Swali shirikishi; kama CCM inakubalika kwanini kuiba kura, kutoa rushwa na litumia Polisi ktk chaguzi?

    Kilichobakia hivi sasa ni mapenzi ya kulazimishana tu...
  2. ngoma ya ukae

    Jerry Muro, matendo unayoyafanya sasa yatakugharimu baadae

    Kipele kimepata mkunaji Sent using Jamii Forums mobile app
  3. ngoma ya ukae

    Mgombea ubunge Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara adai muda wowote Saed Kubenea atajivua ubunge wa Ubungo

    Ni ngumu sana kuwaaminisha watu wakisha kudharau. .. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. ngoma ya ukae

    Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

    Acha kumfananisha LISSU na vitu vya kupita Sent using Jamii Forums mobile app
  5. ngoma ya ukae

    Wanawake wengi siku hizi hawajui au hawataki kuonesha mahaba

    Wana malengo hao kuliko wewe mtafuta pesa..
  6. ngoma ya ukae

    Ninaposemaga Tanzania bara si salama kusafiri usiku huwa mnanipinga, sasa mmeamini

    Jinsi Taifa linavyokwenda hivi sasa watanzania wengi wamekosa usingizi wamebaki kuwaza na kuwazua. ..!!!
  7. ngoma ya ukae

    Waraka Wa KKKT Wapuuzwa, unadaiwa kuandikwa na waliosema Tanzania haijawahi kuongozwa na Mlutheri

    Wenye akili zao wapo kimya hawalazimishwi kuamini magazeti tena yanayotia kichefuchefu pindi uyaonapo machoni. ..!
  8. ngoma ya ukae

    Huyu mwanafunzi wa UDSM ameiabisha taasisi hii kongwe

    Akili ndogo huwa zinakurupuka sana kwa majibu rahisi kujibu maswali magumu.
  9. ngoma ya ukae

    Ubelgiji: Upasuaji mkubwa wa mguu wa Tundu Lissu, umemalizika salama kwa mafanikio makubwa

    Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni...!
  10. ngoma ya ukae

    Polisi na dola wanatetemeka, kuna jambo wanalificha juu ya Abdul Nondo. Haya ndio niliyoyagundua juu yao...

    Ifike sehemu waelewe kuwa hivi sasa watz tuna akili za kutosha
  11. ngoma ya ukae

    Jeshi la Polisi: Abdul Nondo alijiteka na kujisafirisha mwenyewe mpaka Iringa. Ladai alifuata mapenzi

    Hivi sasa watz sio wadanganyika. ..ila kila lenye mwanzo daima huwa halikosi kuwa na mwisho wake.
  12. ngoma ya ukae

    Ushauri: Nina mahusiano na mwanamke 'msimbe'

    Ila kumbuka kuwa sikuzote maji huwa hayasahau ubaridi. ..
  13. ngoma ya ukae

    Usitafute pesa kwaajili ya kujenga bali ongeza vyazo vya mapato kwanza

    Kwa namna moja upo sahihi lkn nyumba ikimalizika inakuwa ni asset ambayo unaweza kuichukulia mkopo benki ukaendeleza biashara zako
  14. ngoma ya ukae

    Usitafute pesa kwaajili ya kujenga bali ongeza vyazo vya mapato kwanza

    Sasa mbona kila siku tunaambiwa maisha ni nyumba? Au ndio ule msemo usemao akili za kuambiwa changanya na zako. ..!
Back
Top Bottom