Ushauri: Nina mahusiano na mwanamke 'msimbe'

Usiendelee naye kwa vyovyote vile huyo kakuzidi umli utamchoka mapema yeye mzoefu wa ndoa wewe hujui adha ya ndoa ishia kwenye mchepuko huo huo atakusumbua baadaye
 
Kuna dada niko nae kwenye mahusiano ila ni msimbe na maanisha aliwahiwa kuolewa na jamaa mwingine ila mimi na yeye tunapendana sasa mwenzangu ananiambie tuoane ila mimi naogopa kuchukua wowote maana yeye ni msimbe na mimi bado sijafanikiwa kupata mke ila nahisi nampenda nahitaji ushauri wenu.
Fanya uonalo jema
 
Mke ni zaidi ya tendo la ndoa, jiulize mipango yako katika maisha ni ipi, angalia kama huyo ni mtu sahihi kuwa mwenzi wako katika maisha yako na familia utayojaaliwa na Mungu, kama ana vigezo vinavyokufaa fanya utaratibu wa kumuoa kama na yeye ana nia ya dhati na pia hujaeleza mmefahamiana na kwa muda gani na kama unaijua historia ya maisha yake kutoka kwa watu wengine USIKURUPUKE na ni vizuri ujue kwa hakika kwanini aliachika inawezekana mkosaji ni yeye, kuoa msichana mdogo si kigezo cha kupata mke bora, mke bora anaanzia alivyolelewa na wazazi wake
 
Mke ni zaidi ya tendo la ndoa, jiulize mipango yako katika maisha ni ipi, angalia kama huyo ni mtu sahihi kuwa mwenzi wako katika maisha yako na familia utayojaaliwa na Mungu, kama ana vigezo vinavyokufaa fanya utaratibu wa kumuoa kama na yeye ana nia ya dhati na pia hujaeleza mmefahamiana na kwa muda gani na kama unaijua historia ya maisha yake kutoka kwa watu wengine USIKURUPUKE na ni vizuri ujue kwa hakika kwanini aliachika inawezekana mkosaji ni yeye, kuoa msichana mdogo si kigezo cha kupata mke bora, mke bora anaanzia alivyolelewa na wazazi wake
Mkuu nmekusoma vzuri lakni yeye tumejuana nae mwaka Jana mwez wa 6 mpaka sasa nko nae lkn tatzo LA yy kumkimbia Mme ake n vipigo ambavyo kwamjibu wa shemeji ake ambae mm n dada ang alisema kwamba forced married and kunyanyaswa na mke mwenzake ambaye ndoo mkubwa alimkuta pale.
 
Mkuu you have good status so it will be good when you'll contact me through 0626393692 for more information
 
Uo umri co wa kawaida kwa Watanzinia wengi kuoana kama labda kama ni wakijijin

Wengi hao hua wanasoma kwa umri huo...otherwise kwa hyo jamii nilokutajia
Bint mwenyewe huyo hapa
IMG_20180310_071659_421.jpg
 
Kwa 'uandishi' wako bado wewe ni kijana mdogo sana!! Au sio?

Pili umekurupuka!!! Na ni mgeni wa haya mambo.Ujue kabisa bado unahitaji muda wa kutosha kukua kiumri na akili pia.Usikimbilie mambo ambayo yatakuvurugia maisha yako ama yatakurudisha nyuma kimaendeleo!!

Unapozungumzia 'ndoa'ni swala lingine kabisa na ni maisha mengine.nahisi umepagawa na ngono unayopewa kila siku!!!

MASWALI YANGU YA MSINGI
Je mwanamke yuko na umri gani?
Je yuko na watoto wangapi?
Aliachika kwa kosa gani??
Uko na mda gani kwenye mahusiano nae??
Unataka kuoa utaweza kuitunza familia?
 
Hivi kumbe wanaume wanakufaga na kuoza katika mapenzi..??ndio naona leo...kama wote wawili mko tayari oaneni tu
 
Aliyewahi kumuoa yupo hai? Walizaa mtoto/watoto? Ilikuaje wakaachana?

Kama yanakufaa maswali hayo, yazingatie kwa kina!
Umeuliza maswalu ya msingi sn mm binafsi nimeacha mke bila kupenda so binafsi nimekuelewa sana!
 
Back
Top Bottom