nashangaa tena nitaendelea kushangaa ndg. zangu kuona Machauni wa watu, aliyepewa nafachi na MKULU WA NCHI, anaachishwa uleadership hivihivi, wajameni Chi Chi eM wamemuonea Machauni, wajameni, mbona huko Chi Chi Em kufoji ni kitu cha kawaida tu. Basi hata wale wabunge wake walio foji vyeti...