Wakili naomba msaada, Nikweli mwajiri anaweza kusitisha huduma za matibabu yani (Medical Insurance) zilizo kwenye makubaliano ya kimukataba..!!? Pasipo kukupa taarifa zozote juu ya hilo nanukimuuliza anakwambia ameshindwa kukuhudumia kwa sababu za kiuchumi, naomba kuelewa hapa.
Maana Mimi...
Wakili naomba msaada, Nikweli mwajiri anaweza kusitisha huduma za matibabu yani (Medical Insurance) zilizo kwenye makubaliano ya kimukataba..!!? Pasipo kukupa taarifa zozote juu ya hilo nanukimuuliza anakwambia ameshindwa kukuhudumia kwa sababu za kiuchumi, naomba kuelewa hapa.
Maana Mimi...
Wakili naomba msaada, Nikweli mwajiri anaweza kusitisha huduma za matibabu yani (Medical Insurance) zilizo kwenye makubaliano ya kimukataba..!!? Pasipo kukupa taarifa zozote juu ya hilo nanukimuuliza anakwambia ameshindwa kukuhudumia kwa sababu za kiuchumi, naomba kuelewa hapa.
Maana Mimi...
Kusimamishwa kazi bila kuchukuliwa maelezo ya awali ni sahihi kwa mjibu wa sheria za kazi...!!? Au barua yakusimamishwa kazi na kuchukuliwa maelezo kipi huanza kati ya hivyo viwili.
Naomba kufahamu juu ya PER-DIEM hivi nikweli PER-DIEM inaondoa uharali wakulipwa masaa ya ziada yani (OVERTIME) Mwajiri wangu ananiambia kwamba kama ananilipa PER-DIEM hawezi kunilipa overtimes, kituo changu cha kazi ni DSM, ila kampuni imepata kazi huku Mbeya, hivyo nimeondoka sehemu yakituo...
Naomba msaada wakisheria please, mnapo sainishana mkataba na mwajiri najua haya nimakubaliano kati ya mwajiri najua mwajiriwa.
Kwa mfano ndani ya mkataba kuna kipengere cha Medical Insurance, ambayo inamutaka mwajiriwa achangie 3% na mwajiri nayeye achangie 3%, mwisho wa siku mwajiri anasema...
WOSIA WA CHIEF KATIKA SIKU HII YA MOTHER'S DAY.
Niweke bayana kina Mama tunaowawish leo ni toleo la zamani sio vidada vya siku hizi.
Kuna uwezekano watoto wanaozaliwa sasa wasione uzito wa hii siku
Wapi hawa wadada wameumizwa na malezi ya watoto?
Muda gani wanao wadada wa siku hizi juu ya...
Mwaka huu kweli masharti ni mengi mpaka napatwa na wasiwasi mkubwa.
Nimejaribu kupitia utaratibu wa utoaji wa mkopo kwa waombaji {Applicants} wa 2018/2019 kuna vigezo ambavyo ninaona hujuma juu ya watoto wa Maskini Kujiunga elimu ya juu {Chuo kikuu}.
Nimesoma kipengele cha sita kinaeleza kuwa...
TESO KUBWA SANA KATIKA MAISHA YA MWANADAMU NI KUMPENDA MTU ASIYE SAHIHI KATIKA ENEO LILILOSAHIHI YAPO MAMBO 25 YANAYOJITOKEZA*
1. Mtu asiye sahihi huleta mahangaiko na mateso.
2. Mtu asiye sahihi huleta majuto katika maisha.
3. Mtu asiye sahihi huleta umasikini, taabu na maumivu.
4. Mtu asiye...
Umeshawahi kwenda kwenye harusi halafu Dj akawa anaplay mziki wakati huo mziki uko sauti ya juu sana halafu unaongea na rafki yako kwa sautiii ili akusikie.
mara Dj anazima gafla mziki halafu Inakukuta unapayuka
"Bibi harusi mbayaa"
halafu umekaa nyuma ya meza ya wazazi wake
Hapo ndio utajua...
SUGU NA MASONGA WAMERUDI, TUJIULIZE!
Leo tarehe 10 Mei 2018, Mbunge wa Mbeya Mjini a.k.a Sugu pamoja na kiongozi mwenzake wa Chadema (Masonga), wametolewa gerezani. Kihesabu wamekaa gerezani kwa miezi mitano gerezani (Siku 73) miezi miwili na nusu - ikiwa tutachukulia ile hesabu ya Kiswahili...
HIZI NDIO TABIA MBAYA ZAIDI AMBAZO KARIBU KILA MWANAMKE AWEZA KUA NAZO JAPO WENGI HUJITAHIDI KUZIFICHA.
1. Si wakweli hasa ikiwepo harufu ya pesa sehemu, mwanamke yuko tiyari kumuita mwanaume wake kinyago, mjinga, mwanaume suruali kisa kaishiwa hela, wanaume wengi sana wamesaidia wanawake mpaka...
David Goodall, mwanasayansi aliyeomba kukatisha uhai wake, kesho atahitimisha safari yake duniani baada ya madaktari kuchomeka sindano ya sumu katika mshipa.
Mzee huyo wa miaka 104, atakaribisha kifo kwa usaidizi wa madaktari wanne Sheena McKenzie, Melissa Bell, Saskya Vandoorne na Ben Westcott...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.