Bakayoko ni mchezaji wa kawaida TU, LKN kocha anampanga kila mechi, hana concentration on the pitch, anajisahau, hawezi kutoa pasi za mwisho, ni mchezaji wa kutibua tibua TU. Haya, ukimtoa TU kante tunapotea sana, SASA huyu wa nini! Kocha alipaswa awe anampanga drink water na kante katikati...