Naunga mkono hoja na pesa hizo ndizo alizozitumia kupatia ubunge. Alitakatisha pesa hizo kupitia Mkombozi saccos na juhudi zote tumekuwa tukizifanya sisi kama wanaigunga bila mafanikio yoyote..
mkiambiwa waislamu ni wabaguzi msikatae mana hata mada isiyohitaji kutaja dini wao lazima wajipambanue! Hivi boko haram, alsha-bab na hamasi ni dini gani wale na je hyo dini inawatuma kuua waislamu wenzao? Hvyo basi tabia ya mtu isihusishwe na dini yoyote ili tusonge mbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.