Pesa taslim .
Halafu wana ruzukukuna watu ni wapumbavu sana, yaan ukamchangie mbunge anayepata mshahara Mkubwa, posho kubwa, pamoja na benefits nyingii tu. si bora ukachangie watoto waliozaliwa na matatizo ya moyo pale muhimbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeandikwa. " SHETANI NI BABA WA UONGO" Kuna mtu mmoja anazunguka akisema uongo kila mahali naamini huyu ndio shetani mwenyeweHaitakaa itokee nimchangie shetani
Hizo ndo akili za kushikiwa mkuu, na yeye anajisifia kaanzisha thread /post. Ndio maana nasema kupenda kunapunguza uwezo wa kufikiri mambo yenyewe ndio hayo eti kampeni kumchangia Lissu....kuna watu ni wapumbavu sana, yaan ukamchangie mbunge anayepata mshahara Mkubwa, posho kubwa, pamoja na benefits nyingii tu. si bora ukachangie watoto waliozaliwa na matatizo ya moyo pale muhimbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Jimboni kwake hana mwenye kipara na asiye na busaraSisi wananchi wake huku jimboni tumeshamkanya sana dhidi ya kuifuatafuata serikali hivyo hatuna haja ya kuchangiwa tumeazimia kumuondoa 2020 ili ashughulike na mambo yake ya mahakama!
WEWE NA IKUNGI WAPI NA WAPISisi wananchi wake huku jimboni tumeshamkanya sana dhidi ya kuifuatafuata serikali hivyo hatuna haja ya kuchangiwa tumeazimia kumuondoa 2020 ili ashughulike na mambo yake ya mahakama!
Nasema hivi ni mpumbavu tu ndiye atakae support huo ujingahajakulazimisha!ni kwa yule mwenye mapenzi na LISU! we endelea kupambana na hali yako
Unakurupuka kuchangia bila hata kusoma mada husika!
Naheshimu maoni yako!Acha uongo wewe! Katiba ya nchi na sheria zote husika ni lazima ziheshimiwe na wote akiwemo huyo dikteta uchwara. Hayuko juu ya katiba wala sheria za nchi. Acha kukurupuka na kuandika pumba humu.
Ila jamani ndo Ukawa tunafilisika kiasi hiki. Hatuna ajenda hatuna mwelekeo Sasa Mange mchango. Lisu mke wakili yeye Mbunge. Jimboni hakai achangiwe kazi ipo