Jitiada za kupata c na d sio!!Kijana wa jirani amefauru, hongera rais magufuri hizi ni jitihada za chama cha mapinduzi (reply like chakubanga)cc: Joseverest
Ikiwa hivo shule za kata zitakosa wanafunzi angalia st kayumba karibia wote wana wastan wa cKwenda secondary ni kwa wenye A na B. Wenye C labda waende VETA au waitwe awamu ya pili kujaza mapengo shule za kata
Katika mikoa yenye wachawi sijawahi isikia Tanga......TANGA wamerogwa na nani mbona kila mwaka wao ni mkia
Mikakati bora ya kukuza elimu labda ndio inakosekana mkuu
Huenda kuna mahali wanakosea au wanajisahau..Mkuu yawezekana ile mikakati iliyowafanya wafaulishe wameiondoa?
Au hawajai update kulingana na kizazi cha sasa?
Kisu cha NgaribaHao wa kagera wakisoma, ule mtaa wa wahaya utakosa watu. Na sisi tunaopata huduma kutoka kwao tutateseka.
huzioni ? mbona hizo hapo?7Mwenye Top ten ya shule zilizofanya vizuri
udini umewakaa sana! Waajiri walimu wasio na IMANI yao watafurahia matokeoZile Shule zetu za Al- Madrasat,Muntazir ,Quiblaten mbona hazipo?
Mwenye jibu jamani atusaidie!
Naombeni jibu mie nijue moja
Singida kubwa wewe! Mbona husemi Mwigulu na Kitila?Na singida tundu lissu aache siasa akahimize elimu
Singida ni ya mwisho kitaifa.Shule ya mwisho kitaifa pia ipo Singida.Wadau wa elimu ni bora kuitembelea shule hii kufahamu ina matatizo gani na ipo katika mazingira gani?Mikoa iliyofanya vibaya kwa mujibu wa necta ni mikoa ya Singida, Tanga, Tabora, Songwe, Lindi, Manyara
Na ile iliyoongoza kwa kutusua kwenye mtihani huo ni Dar es Salaam, Kilimanjaro, Arusha, Mwanza, Kagera,Geita,Njombe,Iringa,na Katavi
Huwezi kwenda mbele kwa akili ya kung'ang'ania kuchinja wanyama halafu ukawa na mipango ya maana kukufikisha mahali bora zaidi
Mkuu nenda elimu haina umri.Naombeni ushauri,nina miaka 50 Ila nataka nikasome darasa la 7 tena vipi nitatusua wakuu??
Now mitihani inasahishwa na machine inaitwa OMR ndoo maana mitihani yao yote ni kuchagua tuu, huu umeua elimu sana mm kama mwlm nikilinganisha na mfumo uliokuwepo wa zamani. Now kila mtoto ana uwezo wa kufaulu ili ajaze Shula za Kata ila ss huwa tunajua wakufika mbali ni wachache tunajua wengi wao watarudi kuuza machungwa mtaani.Wamewahisha kuyatoa afadhali, maana kipindi cha nyuma walikuwa wanayatoa wakati wa sikukuu ya krismasi