Mtemi chomoza basi watu wanakuhitaji.Nilikuwa sijatambua kwamba Mungu kukuumba ana makusudi yake kwa binadamu wenzako.Kama ulikuwa hujatambua hilo nakukick sasa njoo kuna wanaokuthamini kumbe.
Mwl mtemi nalim deo kisandu,mtemi wa temi,jiwe kuu la pembeni,jabali la siasa,usiyeyumbishwa,mwenye msimamo thabiti uliyetayali kujitoa kwa kueleza ukweli,tunaomba japo unene kidogo juu ya dhana ya ukanda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.