Nimejaribu kufikiria haya mambo naona hata mfumo wa utawala enzi za mababu zetu ulichangia, sijaona koo za machifu na wasaidizi wao Kuna vitu Kama hivi. Suku mtawala anaweka mfumo wa kumsaidia katika ulimwengu wa roho na wa mwili ikiwa ni pamoja na kuwafanya wengine waendelee kuwa chini...
Nawaomba sana wanambeya wawe makini make huyo mzee anaweza akarudia ya jangwani makusudi ili watu wahamaki fujo itokee halafu waahirishe uchaguzi kwa kisingizio cha hali kuto kuwa salama! Kwa hiyo wanabadiliko wanahitaji kuwa makini sana kuelekea kipindi hiki cha lala salama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.