Recent content by Ngatiani

  1. Ngatiani

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Bora umechunguza! Huenda kuna uhuni wanatufanyia.
  2. Ngatiani

    Ewe mwanaume, hakikisha unafanya yafuatayo baada ya kuoa

    Mwishoni ameeleza kwamba ameitoa Twitter = X.
  3. Ngatiani

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Ni maumivu na dhuluma tu ndio imelengwa hapo. Sio kumsaidia mstaafu.
  4. Ngatiani

    Wasafiri wa ndege kuweni makini na wizi kwenye ndege

    Kumbe kwenye ndege hakuna cctv camera!
  5. Ngatiani

    DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

    Wakitaka kufanya yao kwenye akaunti yako wanafunga mfumo wa taarifa. Yalinikuta.
  6. Ngatiani

    Bei ya Dagaa imepungua, karibuni wanunuzi

    Kweli. Wachina wamejitahidi kufanya biashara kwa uaminifu. Sisi bado sana.
  7. Ngatiani

    Kwa Uchafu wa Mama Ntilie Wa Tanzania, Bibi na Bwana Afya Naona wako Likizo,

    Angalau chips ni salama kiasi ila usiwekewe kachumbari wala chachandu wala zile nyanya za chupa. Nyanya ya chupa unakuta pale juu pamejaa inzi na nyanya yenyewe imetiwa maji. Maji gani wameweka? Maji hayo ni salama? Tomato ikishatiwa maji usalama wake ukoje? Life span ya uhifadhi inakuwa...
  8. Ngatiani

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naomba maelekezo ya kitumia wakala.
  9. Ngatiani

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Habari. Nawezaje kuweka pesa 1XBET
  10. Ngatiani

    Video: Mwanamke anaswa akiweka chupi kwenye chakula

    Mashari ya mganga. Wale wazee wa kunyonya nanihii, kwao ni sawa tu.
  11. Ngatiani

    Wasambaa ni moja ya watu wenye lafudhi mbovu zaidi Tanzania

    Tunatamka kwa kisambaa, sio kwa Kiswahili. Moroko = Mooko Dar es salaam = Daisaama Tanga = Nhanga Muheza= Mheza Korogwe = Kghoogwe Lushoto= Usoto. N.k
  12. Ngatiani

    Nauli hizi za SGR nani atapanda? Kutoka Dar - Moro Tsh 24,000?

    Wapanga bei wana mabasi yao. Je wakiweka bei ndogo ya treni nani atapanda basi?
  13. Ngatiani

    Inasemekana wanaume wenye sehemu kubwa za siri huwa wanapatwa na tatizo la uwezo mdogo wa akili

    Ni damu kiasi gani huenda kwenye uume hadi kusababisha upungufu kwenye ubongo?
  14. Ngatiani

    #COVID19 Madaktari waishauri Serikali chanjo ya Corona kuwa ya lazima

    Wachanjwe wao wahudumu wa afya ili wasiambukizwe. Badala ya kujichanje wenyewe wanakwepa!
Back
Top Bottom