Recent content by ngaronaro

  1. N

    St James secondary school, Bukoba

    nyie mnazinguaí ½í¸€í ½í¸€
  2. N

    Kwa wanaoijua shato pori (SP) nimeiaplai leo

    waliopitia vyuo vya vilaza hapa lazima wapotee
  3. N

    Kauli Fupi ya Kuudhi: Upepo wa Jana Hausukumi Meli Leo

    Kwa hoja hii MMM nitakuunga mkono mpaka kesho
  4. N

    Diploma of Science UDOM!

    Nawasalimu sana wana jukwaa la Elimu. Kwa wale wenye taarifa kuhusu wahitimu wa hii Diploma pale Chuo kikuu cha Dodoma maana wahitimu wa kwanza itakuwa ni mwaka kesho, nilitaka kujua tu kwa ufupi hivi hawa wataalam wetu wakimaliza pale wataenda kuwafunza vijana wetu wa Primary au wataenda...
  5. N

    Simbachawene: Ajira za Walimu kutoka baada ya bajeti kupita

    hii taarifa siyo nzuri kabsa Kwa masikio yangu mwenyewe nimemsikia
  6. N

    Lazima kusoma degree?

    Niaje wanajanvi Kumekuwa na tabia ya vijana wengi hapa Tanzania kupenda kusomea shahada au degree yeyote ilimradi nae yupo chuo kikuu. Hili limekuwa tatzo huku mtaani kwani vijana wamekuwa wakiangaika bila kujua wafanye nini maana ajira hawana wala kujiajiri hawawezi mfano.mtu kasoma PCM...
  7. N

    Nina 'supp', naweza kuajiriwa?

    kuhusu ninavyojua,unapangiwa kituo kama kawaida ila halmashauiri wanakwambia mpaka uende uclear ndo unaingizwa kwenye payroll ila ajira yako inakuwepo kama kawa mpaka hapo unapochomoa kimeo,
  8. N

    Nyumba za Machemli kupigwa mnada!

    huyu siyo kwamba n ACT!
  9. N

    Robert Kisena atangaza kufilisika kwa UDA

    hawa wate walanguzi tu
  10. N

    CHADEMA yavuna 153 kata ya Muhinduro

    viva chadema choma hizo
Back
Top Bottom