Nawasalimu sana wana jukwaa la Elimu.
Kwa wale wenye taarifa kuhusu wahitimu wa hii Diploma pale Chuo kikuu cha Dodoma maana wahitimu wa kwanza itakuwa ni mwaka kesho, nilitaka kujua tu kwa ufupi hivi hawa wataalam wetu wakimaliza pale wataenda kuwafunza vijana wetu wa Primary au wataenda...
Niaje wanajanvi
Kumekuwa na tabia ya vijana wengi hapa Tanzania kupenda kusomea shahada au degree yeyote ilimradi nae yupo chuo kikuu.
Hili limekuwa tatzo huku mtaani kwani vijana wamekuwa wakiangaika bila kujua wafanye nini maana ajira hawana wala kujiajiri hawawezi mfano.mtu kasoma PCM...
kuhusu ninavyojua,unapangiwa kituo kama kawaida ila halmashauiri wanakwambia mpaka uende uclear ndo unaingizwa kwenye payroll ila ajira yako inakuwepo kama kawa mpaka hapo unapochomoa kimeo,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.