Polepole alifanya ujinga mwingi sana kipindi Cha jiwe.. hasa manunuzi ya wapinzani kwa nguvu na kuharibu mfumo wa demokrasia..
Ila najua Polepole aliumia sana baada ya kuona Jiwe akipelekwa ahera kabla ya muda wake.
Kilichowaudhi wakubwa huko juu ni
- Issue ya makaa ya mawe hasa Rostam
-...
Ghana walikataa kwakuwa taarifa za watu zitakuwa wazi..
Yaani mifumo ya tehama wanaifunga wao US, wanakuwa na access ya mifumo yetu ya Afya..
Siku ukienda US Embassy kuomba Visa, ukitaja jina lako tuu..wanajua mwaka Jana ulilazwa Mwananyamala kwa shida hii....au ulikuwa Mkoa flani Tarehe flani...
Mi zile cross zilikuwa kama 5 au 6..
Pin point cross.. nikajiuliza hii accuracy ni kipaji au kasomea ?
Maana alikuwa anatuma cross ..kwa kipimo Cha urefu wa mchezaji.. haangaiki kufuata mpira...Bali mpira unakuja kwenye kichwa mahali ulipo
Umeleta hoja ya Uongo...
Umejipanga huko kuja kuleta fujo humu ndani..
Mmeona wananchi wanaichangia CHADEMA ..mnatafuta namna ya kuchafua...
Tafuteni mbinu nyingine
Kuna yule wa ongea na Waziri wa Katiba na Sheria...
Ukipiga simu hazipokelewi
Huwa wanapanga siku flani za kupokea na nahisi wanaopiga simu huwa wanapangwa...
Kuna jamaa amelalamika sana ndugu yake Kukaa Mahabusu siku 21, kapiga simu mpaka kachoka...katuma sms kama 30 hazijibiwi na Wizara ya...
Hivi unajua chanzo Cha Kinana kutolewa umakamu mwenyekiti CCM bara ?
Kulikuwa na mazungumzo kati ya CCM na CHADEMA kuhusu mabadikiko ya mfumo wa Uchaguzi...
Kinana alikuwa muungwana na pia kushauri baadhi ya mambo kubadilika..
Matokeo yake CCM hawakutaka na kumtoa Kinana katika nafasi yake
Haya...
UASI- katika kamusi ni kukataa jambo flani la watawala na si uhaini
Uchaguzi haufanyiki - Hayo maneno hayapo katika lengo ya uhaini
Nchi haitawaliki - Kuna wanasiasa wengine ni CCM walishasema nchi haitatawalika tusipo Fanya hivi na hivi- hayo maneno hayapo kwenye uhaini
Uhaini kwanza...
Besigye ...wanasubiri huo unaoitwa ushahidi...
Besigye...Mamlaka za Uganda ziliomba muda kwa taasisi za kimataifa kwamba jamaa alikuwa na mpango wa kuingiza silaha...na pia kumuua M7
Sasa Kila siku Kuna Danadana pia...
Nakuhakikishia ikifika mwishoni mwa mwaka huu kama hakuna kinachoendelea kwa...
Kikwete yupo anafanya ziara za Siri kutuliza mambo
Anajifanya Kukaa kimya kama yeye hahusiki...
Lakini mambo Yako moto sana huko ndani...
Wanalazimisha Heche aingie maridhiano fake kwa nguvu...inabidi huyu bwana alindwe sana...
Watawala Wana haha ..ila hawaonyeshi..ila Wana target Chadema...
Embu taja hata wafanyabiashara wawili waliotoa Hela na kiasi Gani. ...
Na onyesha miamala...
Hivi hao wafanyabiashara hawajitakii mema ? Yaani utoe Hela kwa Heche kipindi hiki ? Utapona ?
Kwanza hii movement ya kumuandama Heche imetokana na yeye kukataa maridhiano fake...
Tafuteni Sababu...
Tangu lini Mchome akawa ni kiongozi CHADEMA ?
Huyu sio mwanachama... Alishirikiana na Ofisi ya Msajili kusema Katibu Mkuu Mnyika hakuchaguliwa kihalali..
Msajili akamzuia Katibu mkuu, bahati nzuri Mahakama ikaona ni ulimbukeni
Sasa Leo kapewa Hela ndio umuamini huyu limbukeni ?
Wanakuwa wanafanya research...
Yaani unaweza ukatengenezwa ugonjwa ukawa unaua tuu Tanzania au East Africa kwa mfano
Pili Ghana walikataa...kutoa access ya data base za wagonjwa wao kwa US
Mfano labda umeenda Muhimbili.. ukajiandikisha ukafanya vipimo... Nk Sasa mfano ukaanza matibabu..Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.