Tungekuwa tunajiweza kibajeti hata 65% nakuhakikishia wangefanya hivyo...
Sisi bajeti karibu nusu tunaomba huko kwa wanaoitwa mabeberu..
Akifungwa unafikiri Court of Appeal watakubali huu ujinga...wa sijui kukinukisha...iwe Uhaini?
Ngoja nikueleweshe...
MGR ndio kipaombele kwa Kwala, Bandari ya Dar inapakua kontena 4,000 mpaka 5,000 kwa siku... TRC wakitumia SGR Ina maana safari za abiria Kwenda Dodoma ziwe mbili kwa siku ?
Kipande Cha kutoka Bandarini Kwenda Kwala kitakuwa busy masaa 24.. na patahitajika treni mahususi...
Wakati wa uongozi wa Jiwe hawakuliwaza hili... Wao walikwenda kujenga tuu...wakasema reli ipo...
Watu wa kushauri kwamba reli hii mataruma yake hayahimili uzito mkubwa walikuwa wamelala
Kuna kitu bado watu hawajaeleweshwa...
Treni ya Kwenda Kwala ni MGR.. na trip Moja inabeba kontena 27... Yaani uwezo wa kubeba zaidi ya hapo haupo
Wameshauri baadhi ya vipande vya chuma (mataruma ) yabadilishwe ili kuhimili mzigo mkubwa..
Juzi Tanga zimeshushwa mataruma mengi kwa ajili ya njia...
Huwezi kupewa hata meno ya Simba, kucha za Simba... Kuna mtu alidakwa na kucha za Simba..sikujua kama ni dili huko China...
Kilichomuokoa ni pesa na connection flani ya kigogo
Ulisikiliza hotuba ya Chande ?
Nanukuu ...' tume imebaini waliokamatwa katika vurugu zile walikuwa
-vijana waliokuwa wakitaka mabadiliko ya kimfumo hasa Katiba Mpya
-Wanasiasa waliokatwa katika kugombea nafasi mbalimbali katika vyama vyao
-vijana waliokosa ajira baada ya Kukaa muda mrefu...
Tupo pabaya sana...
Hizo gari Land cruiser LX ..ziligawiwa nyingi katika section ya upelelezi, Dar na mikoani...
Askari kitengo Cha upelelezi wote ndani ya Tanzania wakazipiga full tinted, na Kila gari Ina number fake..
Askari wa usalama barabarani wanazijua...wakiziona hawazisimamishi wanajua...
Hiyo siku acha kabisa....
Nahisi Watanzania walikula bangi....
Sio kwa kishindo kile... Kuna Mama mmoja muuza mihogo... Yeye kazi Yale ilikuwa kubeba mawe makubwa na kuyapanga barabarani... Leo ukimwambia yabebe hawezi...
Watu walikuwa na hasira sijawahi kushuhudia.... Kulikuwa na shule ya...
Ofisi ya DPP wamechanganyikiwa...
Kwanza Mahakama ilikataza kuleta mambo ya October 29, ila DPP anayaleta... Ila Mnyika anakwepa kwa kutumia akili sana
Yaani DPP anataka kuionyesha Mahakama kwamba zile fujo za October 29, zililetwa na CHADEMA...
Wakati Jaji Chande alisema...fujo zile...
Yaani kwamba kuwepo na mkutano, waandishi wa habari na msimamo wa No reforms, no election ni UHAINI ?
Watu wengi hawajui maana ya UHAINI au viini vyake..
Na ndio maana maneno sijui kuvuruga Uchaguzi,. Kuzuia Uchaguzi sio UHAINI...
Watu wanahitaji Elimu juu ya UHAINI
Yaani kwa kifupi unataka kusema hivi...
Jamuhuri ilisubiri kitendo... Kwa kufanya yafuatayo....
Walikamata watuhumiwa wa Uhaini... Kisha wakawahoji na kuwafutia kesi zao ili wawe mashahidi kesi ya Lissu..
Kisha watuhumiwa wanaachiwa wanarudi mitaani ..baadae miezi 7 mbele wanafanya tukio...
Ndio maana wanaopewa mission za kutekeleza mambo hayo...wanawekewa mtu nyuma wa kummaliza...
Refers Laurent Kabila au Pale Zanzibar kipindi Cha Abeid Karume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.