Recent content by Ngarob

  1. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Polepole hakutakiwa kusema hili jambo

    Polepole alifanya ujinga mwingi sana kipindi Cha jiwe.. hasa manunuzi ya wapinzani kwa nguvu na kuharibu mfumo wa demokrasia.. Ila najua Polepole aliumia sana baada ya kuona Jiwe akipelekwa ahera kabla ya muda wake. Kilichowaudhi wakubwa huko juu ni - Issue ya makaa ya mawe hasa Rostam -...
  2. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Mbona Stori ya Tanzania kupewa Bilioni 2.6 na Marekani imeripotiwa sana. Kuna nini?

    Ghana walikataa kwakuwa taarifa za watu zitakuwa wazi.. Yaani mifumo ya tehama wanaifunga wao US, wanakuwa na access ya mifumo yetu ya Afya.. Siku ukienda US Embassy kuomba Visa, ukitaja jina lako tuu..wanajua mwaka Jana ulilazwa Mwananyamala kwa shida hii....au ulikuwa Mkoa flani Tarehe flani...
  3. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Aise Messi ndio mbuzi

    Mi zile cross zilikuwa kama 5 au 6.. Pin point cross.. nikajiuliza hii accuracy ni kipaji au kasomea ? Maana alikuwa anatuma cross ..kwa kipimo Cha urefu wa mchezaji.. haangaiki kufuata mpira...Bali mpira unakuja kwenye kichwa mahali ulipo
  4. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Lema, lengo lako kuhusu Heche ni nini hasa?

    Umeleta hoja ya Uongo... Umejipanga huko kuja kuleta fujo humu ndani.. Mmeona wananchi wanaichangia CHADEMA ..mnatafuta namna ya kuchafua... Tafuteni mbinu nyingine
  5. Ngarob

    JamiiForums Tanzania KERO Namba nyingi za simu za taasisi hazipatikani, na zikipatikana hazipokelewi

    Kuna yule wa ongea na Waziri wa Katiba na Sheria... Ukipiga simu hazipokelewi Huwa wanapanga siku flani za kupokea na nahisi wanaopiga simu huwa wanapangwa... Kuna jamaa amelalamika sana ndugu yake Kukaa Mahabusu siku 21, kapiga simu mpaka kachoka...katuma sms kama 30 hazijibiwi na Wizara ya...
  6. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Achanaye jamvi atalikumbuka wakati wa dhiki:: Tafakuri kuhusu Maridhiano na Amani ya Kisiasa Tanzania

    Hivi unajua chanzo Cha Kinana kutolewa umakamu mwenyekiti CCM bara ? Kulikuwa na mazungumzo kati ya CCM na CHADEMA kuhusu mabadikiko ya mfumo wa Uchaguzi... Kinana alikuwa muungwana na pia kushauri baadhi ya mambo kubadilika.. Matokeo yake CCM hawakutaka na kumtoa Kinana katika nafasi yake
  7. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Haya hapa madhara kwa Tanzania endapo haitatekeleza masharti ya Jumuiya ya Madola

    Haya... UASI- katika kamusi ni kukataa jambo flani la watawala na si uhaini Uchaguzi haufanyiki - Hayo maneno hayapo katika lengo ya uhaini Nchi haitawaliki - Kuna wanasiasa wengine ni CCM walishasema nchi haitatawalika tusipo Fanya hivi na hivi- hayo maneno hayapo kwenye uhaini Uhaini kwanza...
  8. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Haya hapa madhara kwa Tanzania endapo haitatekeleza masharti ya Jumuiya ya Madola

    Besigye ...wanasubiri huo unaoitwa ushahidi... Besigye...Mamlaka za Uganda ziliomba muda kwa taasisi za kimataifa kwamba jamaa alikuwa na mpango wa kuingiza silaha...na pia kumuua M7 Sasa Kila siku Kuna Danadana pia... Nakuhakikishia ikifika mwishoni mwa mwaka huu kama hakuna kinachoendelea kwa...
  9. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Tangu 2000 Mwanza ilipokuwa jiji la pili kwa watu wengi, uchangiaji wa kodi, wanafunzi, bado serikali haijajenga chuo kikuu kuna kipi kinafichwa?

    Mkuu naomba reference au chanzo Cha taarifa labda TRA... Kwamba Mwanza ni ya pili kwa mchango wa Kodi ?
  10. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    Kikwete yupo anafanya ziara za Siri kutuliza mambo Anajifanya Kukaa kimya kama yeye hahusiki... Lakini mambo Yako moto sana huko ndani... Wanalazimisha Heche aingie maridhiano fake kwa nguvu...inabidi huyu bwana alindwe sana... Watawala Wana haha ..ila hawaonyeshi..ila Wana target Chadema...
  11. Ngarob

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kwani goli la kwanza si alipangua ... Au ?
  12. Ngarob

    JamiiForums Tanzania CHADEMA mnakosea kulea Ufisadi wa Heche

    Embu taja hata wafanyabiashara wawili waliotoa Hela na kiasi Gani. ... Na onyesha miamala... Hivi hao wafanyabiashara hawajitakii mema ? Yaani utoe Hela kwa Heche kipindi hiki ? Utapona ? Kwanza hii movement ya kumuandama Heche imetokana na yeye kukataa maridhiano fake... Tafuteni Sababu...
  13. Ngarob

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

    Tangu lini Mchome akawa ni kiongozi CHADEMA ? Huyu sio mwanachama... Alishirikiana na Ofisi ya Msajili kusema Katibu Mkuu Mnyika hakuchaguliwa kihalali.. Msajili akamzuia Katibu mkuu, bahati nzuri Mahakama ikaona ni ulimbukeni Sasa Leo kapewa Hela ndio umuamini huyu limbukeni ?
  14. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Kinachoendelea CHADEMA kwa sasa, kinaweza kupelekea CAG kukipa chama hicho hati chafu?

    Tafuta kingine... Hii move haisaidii CCM Poor gentlewoman
  15. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Ni ujinga kwa Watanzania kushangilia msaada wa afya wa USA wa USD 1.3b bila kujua masharti yake yote; Zambia, Ghana, na Zimbabwe wayamekataa!

    Wanakuwa wanafanya research... Yaani unaweza ukatengenezwa ugonjwa ukawa unaua tuu Tanzania au East Africa kwa mfano Pili Ghana walikataa...kutoa access ya data base za wagonjwa wao kwa US Mfano labda umeenda Muhimbili.. ukajiandikisha ukafanya vipimo... Nk Sasa mfano ukaanza matibabu..Kuna...
Back
Top Bottom