Recent content by Ngarob

  1. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru Atoa Agizo Kesi ya Lissu Ikamilike Ndani ya Siku 14

    Tungekuwa tunajiweza kibajeti hata 65% nakuhakikishia wangefanya hivyo... Sisi bajeti karibu nusu tunaomba huko kwa wanaoitwa mabeberu.. Akifungwa unafikiri Court of Appeal watakubali huu ujinga...wa sijui kukinukisha...iwe Uhaini?
  2. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Hujuma kubwa dhidi ya reli mpya ya SGR inayofanywa na wanaccm na ndilo chimbuko la kukataa katiba mpya.

    Ngoja nikueleweshe... MGR ndio kipaombele kwa Kwala, Bandari ya Dar inapakua kontena 4,000 mpaka 5,000 kwa siku... TRC wakitumia SGR Ina maana safari za abiria Kwenda Dodoma ziwe mbili kwa siku ? Kipande Cha kutoka Bandarini Kwenda Kwala kitakuwa busy masaa 24.. na patahitajika treni mahususi...
  3. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Hujuma kubwa dhidi ya reli mpya ya SGR inayofanywa na wanaccm na ndilo chimbuko la kukataa katiba mpya.

    Wakati wa uongozi wa Jiwe hawakuliwaza hili... Wao walikwenda kujenga tuu...wakasema reli ipo... Watu wa kushauri kwamba reli hii mataruma yake hayahimili uzito mkubwa walikuwa wamelala
  4. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Hujuma kubwa dhidi ya reli mpya ya SGR inayofanywa na wanaccm na ndilo chimbuko la kukataa katiba mpya.

    Kuna kitu bado watu hawajaeleweshwa... Treni ya Kwenda Kwala ni MGR.. na trip Moja inabeba kontena 27... Yaani uwezo wa kubeba zaidi ya hapo haupo Wameshauri baadhi ya vipande vya chuma (mataruma ) yabadilishwe ili kuhimili mzigo mkubwa.. Juzi Tanga zimeshushwa mataruma mengi kwa ajili ya njia...
  5. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Taratibu gani zinatakiwa kufuatwa ukitaka kununua ngozi ya chui au simba kutoka Maliasili?

    Huwezi kupewa hata meno ya Simba, kucha za Simba... Kuna mtu alidakwa na kucha za Simba..sikujua kama ni dili huko China... Kilichomuokoa ni pesa na connection flani ya kigogo
  6. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Mheshiwa Lissu kajitetea vibaya kwenye kipengele cha heshima kubwa aliyonayo kimataifa

    Ulisikiliza hotuba ya Chande ? Nanukuu ...' tume imebaini waliokamatwa katika vurugu zile walikuwa -vijana waliokuwa wakitaka mabadiliko ya kimfumo hasa Katiba Mpya -Wanasiasa waliokatwa katika kugombea nafasi mbalimbali katika vyama vyao -vijana waliokosa ajira baada ya Kukaa muda mrefu...
  7. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Tupo pabaya sana... Hizo gari Land cruiser LX ..ziligawiwa nyingi katika section ya upelelezi, Dar na mikoani... Askari kitengo Cha upelelezi wote ndani ya Tanzania wakazipiga full tinted, na Kila gari Ina number fake.. Askari wa usalama barabarani wanazijua...wakiziona hawazisimamishi wanajua...
  8. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Mkuu hao ni askari... Sitaenda details zaidi... Na huo sio ukamataji..ni utekaji
  9. Ngarob

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hata mkiua mashahidi kama Kenyatta na Rutto walivyofanya mwaka 2014, hamuwezi kupona mwaka 2026

    Hiyo siku acha kabisa.... Nahisi Watanzania walikula bangi.... Sio kwa kishindo kile... Kuna Mama mmoja muuza mihogo... Yeye kazi Yale ilikuwa kubeba mawe makubwa na kuyapanga barabarani... Leo ukimwambia yabebe hawezi... Watu walikuwa na hasira sijawahi kushuhudia.... Kulikuwa na shule ya...
  10. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026

    Ofisi ya DPP wamechanganyikiwa... Kwanza Mahakama ilikataza kuleta mambo ya October 29, ila DPP anayaleta... Ila Mnyika anakwepa kwa kutumia akili sana Yaani DPP anataka kuionyesha Mahakama kwamba zile fujo za October 29, zililetwa na CHADEMA... Wakati Jaji Chande alisema...fujo zile...
  11. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kutoa Ushahidi kumtetea Tundu Lissu Mahakamani leo Agosti 31, 2026. Kesi imeahirishwa hadi Kesho

    Yaani kwamba kuwepo na mkutano, waandishi wa habari na msimamo wa No reforms, no election ni UHAINI ? Watu wengi hawajui maana ya UHAINI au viini vyake.. Na ndio maana maneno sijui kuvuruga Uchaguzi,. Kuzuia Uchaguzi sio UHAINI... Watu wanahitaji Elimu juu ya UHAINI
  12. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Kenya Kununua Magunia Milioni 11 ya Mahindi kutoka Zambia Kwa bei Kubwa na Kuikacha Tanzania Yenye Mahindi Mengi ya Bei Chee.

    Ina maana wewe ukiwa kiongozi... Wafanyabiashara wa Kenya wakinunua bidhaa Zimbambwe au Zambia.. hutaruhusu wapitishe Tanzania ?
  13. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Ni lini mmewahi kuona CCM wako busy na mambo ya CHADEMA au chama cha upinzani?

    Mkuu wewe ni Pumbafff... Sana CCM wanafuatilia CHADEMA kuliko unavyofikiri.... Wana deal na CHADEMA kwa kupitia msaada wa vyombo vya Dola na Mahakama
  14. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu kuendelea na maswali ya dodoso Mahakamani leo Agosti 28, 2026

    Yaani kwa kifupi unataka kusema hivi... Jamuhuri ilisubiri kitendo... Kwa kufanya yafuatayo.... Walikamata watuhumiwa wa Uhaini... Kisha wakawahoji na kuwafutia kesi zao ili wawe mashahidi kesi ya Lissu.. Kisha watuhumiwa wanaachiwa wanarudi mitaani ..baadae miezi 7 mbele wanafanya tukio...
  15. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Kwanini taarifa za kifo cha Mpishi wa Ofisi Binafsi ya Makamu wa Rais zimefichwa?

    Ndio maana wanaopewa mission za kutekeleza mambo hayo...wanawekewa mtu nyuma wa kummaliza... Refers Laurent Kabila au Pale Zanzibar kipindi Cha Abeid Karume
Back
Top Bottom