Huko anaenda kuchukua kandarasi ya kutengeneza sumu... Urusi ndio kinara wa sumu Duniani hata nyoka Cobra, Koboko au sijui Kifutu wakajifunze huko...
Urusi Hana biashara zaidi ya Uranium tuu...
Vijiweni Kila mtu anasimulizi....
Kuna jamaa alienda Buguruni saa 5 ..kukaribia saa 6 mchana
Yaani kufika saa 8 mchana ni moto mkali na vurugu...akajibana sehemu mpaka saa 12 jioni
Hakuna usafiri..akaanza kutembea kuelekea Vingunguti ..akaona mbele zinakuja gari...ni ku shoot tuu ...
Yeye...
Mkuu ni kweli....
Yaani Kuna mambo kama 100 yanafanyiwa kazi...
Nilivyoona mambo ya haki za binadamu... Nikajua ni utekaji tuu...
Kumbe humo ndani Hadi issue za Wamasai kutolewa Ngorongoro kwa nguvu zipo ....
Lahaulaaa...Kizimkazi usione yupo kimya...
Kabudi, Kombo na Nyalandu tayari Wana...
Mkuu nchi ilipofikia... Viongozi hawasikii chochote
Ukiwaambia mifumo ya haki haipo hawasikii..
Ukiwaambia Kuna wizi wa kura..michakato ya kidemokrasia haipo hawasikii...
Huo mswada usainiwe tuu...
Kisha na Umoja wa Ulaya uunge tela...
Baada ya hapo wote tutakuwa hoii maana tunategemea sana...
Unajua Kizimkazi washauri wake kwa Sasa ni Kabudi, Bashite, Huyu Kombo
Wanampa kiburi...hii kesi ya Lissu ilianzia kwenye bunge la Ulaya...Kabudi akajidai kusema hamna kitu...
Safari hii... CCM watataga mayai viza kwenye hili suala la Lissu
Hivi kulia na kusaga meno kukoje ?
Yaani unalia mpaka meno yanasagika?
Au unalia..unaong'oa meno Kisha unayapeleka kwenye mashine ya kusaga na kukoboa nafaka ?
Kuna kitu unakikwepa makusudi...
Wakati Magufuli anajenga Chato aliwaambia halmashauri ya Jiji Mwanza jengeni jengo la abiria kwa mapato yenu sitoi Hela hazina.
Akawaambia baneni matumizi..
Mchakato ukaanza kujenga jengo la abiria...na ujenzi ukaanza kipindi kile kulikuwa na kampuni Maalum...
Mkuu inabidi ueleweshwe mambo mengi sana kuhusu ...
Circuit ya watu kutua KIA/ Arusha
Ndege kubwa zinazotua KIA kutoka nje...asilimia kubwa ni watalii..sikatai
Mfano KLM inatua KIA..imebeba watu 280 ...katika watu hao wanaoshuka KIA ni 150 Kisha ndege inaendelea na safari..nimeshuhudia sana...
Nipo sehemu nimekaa na kada mtiifu wa CCM....ameniambia kwa kauli ya PM ameona aibu..
Kasema Bora angekaa kimya...na kuwaachia msala Polisi ...kwa kawaida yao ya kusema uchunguzi unafanyika basii
Nilishasema na ninarudia Tena... Michezo ya kutekana haitaisha Leo..
Serikali ndio mnufaika wa michezo hii na hakuna utayari wa kukomesha hii michezo
Kumbuka nukuu zifuatazo
- Kutekana ni drama by Kizimkazi
-Kutekana ni michezo by Madelu
Kwa kauli hizo ...tembea kwa tahadhari muda huu Mafwele...
Mkuu usipende kuitia watu wezi....
Kuna mtu aliita mwizi...watu wakajaa na kuuwa
Huu ni karibu mwaka wa tano yupo ndani magereza...japo ndugu wanapambana ..lakini kutoka sio Leo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.