Recent content by Ngarob

  1. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Mama kwenda ziara Urusi ni tumekuwa loosers

    Huko anaenda kuchukua kandarasi ya kutengeneza sumu... Urusi ndio kinara wa sumu Duniani hata nyoka Cobra, Koboko au sijui Kifutu wakajifunze huko... Urusi Hana biashara zaidi ya Uranium tuu...
  2. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Daaaa! Nimekumbuka viburi vya Job Ndugai na Hayati Magufuli dhidi ya upinzani hasa CHADEMA

    Unakuta wote wamekutana ahera madukani... Ndugai anamuuliza JPM hivi kwanini usiombe VAR kwa Israel mtoa roho ili tujue ulichomokaje kule Duniani....
  3. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Daaaa! Nimekumbuka viburi vya Job Ndugai na Hayati Magufuli dhidi ya upinzani hasa CHADEMA

    Umesahau.... Aliyekuwa mshiriki wa ununuzi wa wapinzani akishirikiana na JPM ni Polepole... Na yeye hatujui wasiojulikana wamemfanyaje..
  4. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Huyu Johnthebaptist Yuko Wapi?

    Vijiweni Kila mtu anasimulizi.... Kuna jamaa alienda Buguruni saa 5 ..kukaribia saa 6 mchana Yaani kufika saa 8 mchana ni moto mkali na vurugu...akajibana sehemu mpaka saa 12 jioni Hakuna usafiri..akaanza kutembea kuelekea Vingunguti ..akaona mbele zinakuja gari...ni ku shoot tuu ... Yeye...
  5. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Huyu Johnthebaptist Yuko Wapi?

    Kuna watu wengi walipotea October 29... Kuna watu walitoka tuu Kwenda mjini na mihangaiko yao... hawajawahi kuonekana mpaka leo
  6. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Samia kutoswa na Kundi ambalo halikuhusika na Mauaji Wala Utekaji, ila Lina Mali na Fedha zake US na Ulaya .. Tayari Hawaruhusiwi Kuhamisha Fedha zao.

    Mkuu ni kweli.... Yaani Kuna mambo kama 100 yanafanyiwa kazi... Nilivyoona mambo ya haki za binadamu... Nikajua ni utekaji tuu... Kumbe humo ndani Hadi issue za Wamasai kutolewa Ngorongoro kwa nguvu zipo .... Lahaulaaa...Kizimkazi usione yupo kimya... Kabudi, Kombo na Nyalandu tayari Wana...
  7. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Kutakuwa na kilio na kusaga meno Kama Donald Trump atasaini Muswada wa Ted Cruz

    Mkuu nchi ilipofikia... Viongozi hawasikii chochote Ukiwaambia mifumo ya haki haipo hawasikii.. Ukiwaambia Kuna wizi wa kura..michakato ya kidemokrasia haipo hawasikii... Huo mswada usainiwe tuu... Kisha na Umoja wa Ulaya uunge tela... Baada ya hapo wote tutakuwa hoii maana tunategemea sana...
  8. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Kutakuwa na kilio na kusaga meno Kama Donald Trump atasaini Muswada wa Ted Cruz

    Unajua Kizimkazi washauri wake kwa Sasa ni Kabudi, Bashite, Huyu Kombo Wanampa kiburi...hii kesi ya Lissu ilianzia kwenye bunge la Ulaya...Kabudi akajidai kusema hamna kitu... Safari hii... CCM watataga mayai viza kwenye hili suala la Lissu
  9. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Kutakuwa na kilio na kusaga meno Kama Donald Trump atasaini Muswada wa Ted Cruz

    Hivi kulia na kusaga meno kukoje ? Yaani unalia mpaka meno yanasagika? Au unalia..unaong'oa meno Kisha unayapeleka kwenye mashine ya kusaga na kukoboa nafaka ?
  10. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Hadhi ya Mwanza na majiji mengine ipo wapi? Tukisema hizi ni dharau tunakosea? Bajeti na mikopo ni kwajili ya miradi ya Dar na Dodoma?

    Kuna kitu unakikwepa makusudi... Wakati Magufuli anajenga Chato aliwaambia halmashauri ya Jiji Mwanza jengeni jengo la abiria kwa mapato yenu sitoi Hela hazina. Akawaambia baneni matumizi.. Mchakato ukaanza kujenga jengo la abiria...na ujenzi ukaanza kipindi kile kulikuwa na kampuni Maalum...
  11. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Kwenu wabunge wa Kanda ya Ziwa: Airport ya Mwanza iboreshwe lakini hoja zenu za kikanda zisiwe sababu ya kupinga ujenzi wa uwanja wa Serengeti

    Mkuu inabidi ueleweshwe mambo mengi sana kuhusu ... Circuit ya watu kutua KIA/ Arusha Ndege kubwa zinazotua KIA kutoka nje...asilimia kubwa ni watalii..sikatai Mfano KLM inatua KIA..imebeba watu 280 ...katika watu hao wanaoshuka KIA ni 150 Kisha ndege inaendelea na safari..nimeshuhudia sana...
  12. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Nipo sehemu nimekaa na kada mtiifu wa CCM....ameniambia kwa kauli ya PM ameona aibu.. Kasema Bora angekaa kimya...na kuwaachia msala Polisi ...kwa kawaida yao ya kusema uchunguzi unafanyika basii
  13. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kutekwa kwa Djumbe ni Michezo na haijaanza Jana

    Nilishasema na ninarudia Tena... Michezo ya kutekana haitaisha Leo.. Serikali ndio mnufaika wa michezo hii na hakuna utayari wa kukomesha hii michezo Kumbuka nukuu zifuatazo - Kutekana ni drama by Kizimkazi -Kutekana ni michezo by Madelu Kwa kauli hizo ...tembea kwa tahadhari muda huu Mafwele...
  14. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    Hii issue za kutekana zinafanywa na Idara za Serikali... Watanzania hakuna haja ya kuficha sisi ni watu wazima na tuna akili timamu
  15. Ngarob

    JamiiForums Tanzania Hakikisha mwenye nyumba anakupa funguo zote. Nimemkuta ndani kwangu, ameingia bila ridhaa yangu

    Mkuu usipende kuitia watu wezi.... Kuna mtu aliita mwizi...watu wakajaa na kuuwa Huu ni karibu mwaka wa tano yupo ndani magereza...japo ndugu wanapambana ..lakini kutoka sio Leo..
Back
Top Bottom