Recent content by ngarambe

  1. N

    JamiiForums Tanzania Baba yangu siku ya nne fahamu hakuna

    Pole sn mkuu,,,, vuta subra, atapona, c yuko hospitali? Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua mganga wa ukweli naomba anifahamishe

    kilwa nitaenda km utanisaidia direction kdg Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  3. N

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua mganga wa ukweli naomba anifahamishe

    Itabidi nifanye hivyo, huwezi kunipm ukanipa direction zaidi jamani, Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  4. N

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua mganga wa ukweli naomba anifahamishe

    Acha uhayawani, niko serious Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  5. N

    JamiiForums Tanzania Kwa anayejua mganga wa ukweli naomba anifahamishe

    Jamani, niko serious, natafuta mganga wa ukweli kbs, nimeibiwa sasa nataka tu nimfanyie ushezi aliyeniibia, nimeibiwa laptop, na aliyeiba ni mtu wa karibu sana na mimi. Kwa yeyote anaeweza kunisaidia kunielekeza kwa mganga wa ukweli ntashukuru Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  6. N

    JamiiForums Tanzania Sumsung galax na blackberry torch

    Naomba kujuzwa simu kali za zilizo kwenye chat kwa sasa maana nimeambiwa ni bb torch na sumsung galax je ni kweli? Na kama kweli ni ipi bomba zaidi. Asante.
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wa moshi mjini msaada tafadhali

    We hayawani kweli, mnafiki na mzandiki,,,, mimi si design hiyo na ungeniona ungenirespect sana,,, tafadhali usiseme kitu ambacho hujui,,, **** kweli wewe,,,,, mfedhuli kbs ww ndio maana ukaitwa mimacho mdiliko shoga mkuu
  8. N

    JamiiForums Tanzania Maboresho tbc1

    Mijigamba hiyo,,, mi cjaangalia tangu 2004...bora naangalia movie na channel zenye akili inatosha
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wa moshi mjini msaada tafadhali

    Ki ukweli mi ni mgeni ila si mgeni sana kuna baadhi ya sehemu muhimu nakujua km nilivyosema hapo juu. Km huamini sawa ni hisia zako, ila ukweli ndio huo
  10. N

    JamiiForums Tanzania Nimekosa pa kuanzia.. ila Kweli hii ni haki!?

    Jamani hivi humu hamna viongozi wa juu walishughulikie hilo tatizo
  11. N

    JamiiForums Tanzania Tahadhari: Hii ni hatari sana kwenye simu

    Tatizo cm zao vimeo kwa mbele hawasikii na wengi ukiwaelimisha wanajibu wanavyotaka wao km ELLY
  12. N

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wa moshi mjini msaada tafadhali

    Hivi hamsomi mkaelewa nimeseme mimi ni mgeni kdg,,, si mara ya kwanza kufika moshi mjini,,,, napajua kidogo mfano nishafika mawenzi hosp, ila kcmc cjawahi fika hata cpajui ila najua njia ya kwenda huko, najua posta, library, crdb, nbc, ndio maana nikasema ni mgeni kdg, ndio maana naulizia huduma...
  13. N

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wa moshi mjini msaada tafadhali

    Asante, maeneo ya mawezi hosp nakujua kdg kuna duka kubwa km supermarket linatizamana na shell, na pana bar inaitwa kdc km cjakosea ila hosp napajua cjajua ni maeneo gani haswa
  14. N

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wa moshi mjini msaada tafadhali

    Cwezi kutoka mjini nikaingia nje ya mji kutafuta vitu hivyo!!! Nataka saloon na passport size,, sihitaji malapulapu ya mbege ya kiboroloni
  15. N

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wa moshi mjini msaada tafadhali

    Sihitaji kusomea upolic wala cjajipanga kuitwa kuruta
Back
Top Bottom