We ni vipi kwani kujiremba tatizo liko wapi????? Ndio nyie mnakaa wiki nzima hamhogi mnajidai mko busy ukipanda kwenye daladala mnaharibu hali ya hewa. Pole sana. Kama mambo ya maendeleo unaweza kuona hizo passport nazo ni za nini au ni urembo pia. Alafu unajiita the gret dhinka!!Wenzio wanawaza maisha,we unawaza kujiremba tu?watu wengne bana.
Usipate tabu, ukifika tu, chukua Taxi mwambie dereva akupeleke mpaka CCP-Moshi hapo utapata huduma zote.
nenda Onyonya Ukunonze maeneo ya Kiboriloni utapata mahitaji yote
kwa issue ya passport nenda barabara ya mawenzi hosp kutokea stand,saloon nenda kilimanjaro beauty palace naeneo ya fivestar hardware ukipandia njia ya klm booking office.km maelezo hayajitoshezi ongezea ya kwako
Cwezi kutoka mjini nikaingia nje ya mji kutafuta vitu hivyo!!! Nataka saloon na passport size,, sihitaji malapulapu ya mbege ya kiboroloni
Mimi ni mgeni kdg moshi mjini na leo nitakua hapo naomba mnisaidie kwa maelekezo wapi nitapata huduma ya passport size za dakika tatu na huduma ya saloon nzuri ya kike. Naomba msaada tafadhali. Ni maeneo gani.
nenda Onyonya Ukunonze maeneo ya Kiboriloni utapata mahitaji yote
Bado nashindwa kuelewa kama wewe ni mgeni au mwenyeji!! Umefahamu vipi kuwa Kiborilon ni nje ya mji????Cwezi kutoka mjini nikaingia nje ya mji kutafuta vitu hivyo!!! Nataka saloon na passport size,, sihitaji malapulapu ya mbege ya kiboroloni
Kwi kwi kwiiiii,kamata mwizi meeeeenBado nashindwa kuelewa kama wewe ni mgeni au mwenyeji!! Umefahamu vipi kuwa Kiborilon ni nje ya mji????
nenda Onyonya Ukunonze maeneo ya Kiboriloni utapata mahitaji yote