Kwa wale wa moshi mjini msaada tafadhali

Kwa wale wa moshi mjini msaada tafadhali

jioni utakua wapi,nataka nikupeleke mahali ukapate nyama choma safi sii ya mbwa lakini au ukalale marangu chagua
 
Wajameni, huyu mtoa mada si mgeni moshi, anatuzingua aseme anataka nini hasa. Kila akielekezwa mkali kama kuku anayeatamia mayai.
 
hivi wewe ni mgeni kweli? Au unazingua tu watu!
 
Ki ukweli mi ni mgeni ila si mgeni sana kuna baadhi ya sehemu muhimu nakujua km nilivyosema hapo juu. Km huamini sawa ni hisia zako, ila ukweli ndio huo
 
Mimi ni mgeni kdg moshi mjini na leo nitakua hapo naomba mnisaidie kwa maelekezo wapi nitapata huduma ya passport size za dakika tatu na huduma ya saloon nzuri ya kike. Naomba msaada tafadhali. Ni maeneo gani.
Huna lolote wewe unatafuta mawindo. Na hii kujifanya kuulizia saloon ya kike ni janja yako tu ya kuwaambia mazoba makware wewe mwanamke
 
We hayawani kweli, mnafiki na mzandiki,,,, mimi si design hiyo na ungeniona ungenirespect sana,,, tafadhali usiseme kitu ambacho hujui,,, **** kweli wewe,,,,, mfedhuli kbs ww ndio maana ukaitwa mimacho mdiliko shoga mkuu
 
kama kweli unahitaji msaada nipm me ni taxi driver wa kike pekee hapa moshi!
 
Teh'teh' njoo kwny saloon yakunyoa maeneo ya hapa stand gorofani hapa nikutie kipara.
 
karibu kiboriloni Utapata supu ya utumbo,makanyagio,ulimi na mkia wa Nguruwe bila kusahau nyama choma safi ya nguruwe
 
Teh teh... MODS peleka huu uzi kwenye Utani/Jokes.....nadhani ingefaa zaidi kule. lol
 
Back
Top Bottom