Mharakati umenena, kuna watu wajinga na wavivu sana wa kufikiri. Badala ya kutumia akili zao wenyewe na kutathmini mambo, wanaimba nyimbo za mnafiki, mnafiki tu. Sijaona hata mtu mmoja anayempinga Sitta aliyetoa hoja yoyote yenye umakini. Wanaimba wimbo tu mnafiki, mnafiki, mnafiki.... Hehe, ni...