Recent content by Nganga Lyuma

  1. Nganga Lyuma

    The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

    Shukran naitafuta fasta ili nichanganye mautamu.
  2. Nganga Lyuma

    New Member;Nini niwe nacho makini humu? Nimekuja rasmi

    Hahahaaa chief Kwangu hiyo halam kabsa.
  3. Nganga Lyuma

    New Member;Nini niwe nacho makini humu? Nimekuja rasmi

    Sa hiv zipo hata za buku haina shida....
  4. Nganga Lyuma

    The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

    Yaan huu uzi unavofatiliwa kwa makini,Ingekuwa ni movi inaonyeshwa theater pasingetosha .
  5. Nganga Lyuma

    Je, kuna Tundu (Hollow) katika Ncha ya Kaskazini linalotoa miale ya Mwanga kutokea Ndani ya Dunia?

    Hiyo dhana inapingana na Giologia ,Giologia inaeleza kuwa muundo wa ndani ya dunia umegawanyika katika matabaka makuu matatu.Tabaka la juu ni crust la katikati ni Mantle na mwisho core.Na hiyo core sehem ya katikati kabsa ni yabisi (Solid) kutokana na element zinazoiunda na pia high...
  6. Nganga Lyuma

    DRC: Kambi ya wanajeshi wa Tanzania na Malawi yavamiwa na kuchomwa moto, raia wanne wauawa

    Nimekupata mkuu ,Kambi zenye wanajeshi wa Tanzania zimekuwa zikivamiwa mara nyingi,mimi nahisi pengine kuna watu wasio litakia mema Taifa letu wanatumia huo mlango kufikisha ujumbe.
  7. Nganga Lyuma

    Mamonita mnaotusumbua sana madarasani

    Lakin nilichogundua mamonita wengi wana nidham ya woga kwa mwalimu,ndo maana wanaishia kuonea wanafunzi .Wanasahau kama kuna maisha baada ya shule.
  8. Nganga Lyuma

    Kwa wahehe mliopo Dar es Salaam

    Nene chendivopila nye vavyamwani mkalye mwiyena.. Ndala mwibatika yinyenye kuko.wewe kukaye kono tukwilila inganya mayowo haa .
  9. Nganga Lyuma

    Mamonita mnaotusumbua sana madarasani

    Halafu mkuu Jihadhari hata kwa hili unaweza pitishwa mbele ya darasa upewe adhabu ya kupiga magoti hadi mda wa karudi.
  10. Nganga Lyuma

    DRC: Kambi ya wanajeshi wa Tanzania na Malawi yavamiwa na kuchomwa moto, raia wanne wauawa

    Slim siyo wa kuchezea kabsa mkuu hana undugu kwenye masilahi
  11. Nganga Lyuma

    DRC: Kambi ya wanajeshi wa Tanzania na Malawi yavamiwa na kuchomwa moto, raia wanne wauawa

    Mkuu ukimuona kuku mweupe kwa mganga ameponzwa na Rangi yake.
  12. Nganga Lyuma

    New Member;Nini niwe nacho makini humu? Nimekuja rasmi

    Ahsante nimeshavuta kiti nimekaaa,juice tayar,Lunch pia inaonekana itakuwa nzuri maana harufu tu zinasadifu,
  13. Nganga Lyuma

    Makapuku Forum

    Hivi fungate huendi na sim,au pc ya movie
  14. Nganga Lyuma

    Makapuku Forum

    Acha tuendelee kusakanya
Back
Top Bottom