Mamonita mnaotusumbua sana madarasani

Mamonita mnaotusumbua sana madarasani

nimekuja haraka nimjue huyo mamonita nilijua ni mchuchu mkali kumbe unazungumzia Monitor c2pdy
Afadhali umekiri umekuja haraka, ningemaanisha huyo ningesema monitress
 
Shule ya msingi kulikuwa na monita mmja mnoko sana kutwa kunIndia jina!
Ilinibidi nijiongeze kumfata kwao na kumpiga biti hapo alituliaaa

Ova
 
Halafu mkuu Jihadhari hata kwa hili unaweza pitishwa mbele ya darasa upewe adhabu ya kupiga magoti hadi mda wa karudi.
 
Shule ya msingi kulikuwa na monita mmja mnoko sana kutwa kunIndia jina!
Ilinibidi nijiongeze kumfata kwao na kumpiga biti hapo alituliaaa

Ova
angekuwa mtoto wa mwalimu ungepata tabu sana, maana kwa hapa shuleni, mamonita ambao ni watoto wa mwalimu hawaguswi kabisa
 
Halafu mkuu Jihadhari hata kwa hili unaweza pitishwa mbele ya darasa upewe adhabu ya kupiga magoti hadi mda wa karudi.
bora hata kama utaambiwa kosa, unaweza tu kuitwa stafu rum na kuanza kupigwa bakora bila maelezo
 
Fikra zangu zinaniambia monita anaezungumziwa hapa sio monita ambae wengi wanadhani ndie!

Anyway, mamonita watasikia!
 
Back
Top Bottom