ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 15,587
- 59,263
Mh! Sawa nizindueWe kubali uone uzinduzi unakuwaje
Mh! Sawa nizindueWe kubali uone uzinduzi unakuwaje
Karibu jisikie Upo nyumbani. Hapa kwetu tu njaa kali sana Narudia Tena tuna njaa kali sana. Nmesikia nyumba ya jirani huko wakiwaita mademu zetu Huku "MAHARAGE YA MBEYA" sina uhakika na hilo Ila Kama ni kweli "Vaa Condom".
Ww tulia majirani utawafahamHahahahaa. Kina nani hao tena
Uzur wa ID zinazotumika humu unaweza pita hata na mkeo,ishu inakuja mnapopeana mawasilianoumeniwahi mkuu
Katika nyanja ipi kuwa straitNikuzindue
Nimekuelewa sana mkuu shukranKaribu jisikie Upo nyumbani. Hapa kwetu tu njaa kali sana Narudia Tena tuna njaa kali sana. Nmesikia nyumba ya jirani huko wakiwaita mademu zetu Huku "MAHARAGE YA MBEYA" sina uhakika na hilo Ila Kama ni kweli "Vaa Condom".
Ww tulia majirani utawafaham
Ahsante nimeshavuta kiti nimekaaa,juice tayar,Lunch pia inaonekana itakuwa nzuri maana harufu tu zinasadifu,Karibu sana JF..............
Hapa leta BALIMI ya moto..................Ahsante nimeshavuta kiti nimekaaa,juice tayar,Lunch pia inaonekana itakuwa nzuri maana harufu tu zinasadifu,
Sa hiv zipo hata za buku haina shida....Hapa leta BALIMI ya moto..................
Na mfugo kama kilo unusu na ndizi zake mbili na kachumbari kisado.Sa hiv zipo hata za buku haina shida....
Hahahaaa chief Kwangu hiyo halam kabsa.Na mfugo kama kilo unusu na ndizi zake mbili na kachumbari kisado.
Hivi bado wapo waleKuwa makini na mtu anaitwa miss natafuta.
Kwa maana hyo ukienda kwa wahaya peke hautaupata sababu unalindwa na damu ya huyo jamaaNalindwa na Dam ya yesu mimi.