Recent content by NG'AMBEZE

  1. N

    Samwel Sitta: Magufuli anashauriwa vibaya!

    Anashauriwa vibaya katika jambo gani?
  2. N

    Tuache utani, ni raha sana kuwa na mbunge wa upinzani jimboni kwenu

    Kwa jinsi ninavyo fahamu ni kwamba wabunge wa ccm ni waoga sana kuisimamia serikali na hata kama hoja ni nzuri ya kuijenga nchi hawapendi kuibana,hali hii ndiyo inayosababisha wananchi kuichukia ccm,na ndicho kinachosababisha ccm kutumia nguvu nyingi na fedha nyingi wkt wa kampeni
  3. N

    Wafanyakazi wa kigeni na wafanyabiashara wapewa siku 14

    Mimi nilidhani wanawafutia vibali vya kuishi nchini ili kazi walizokua wakizifanya wapewe watanzania,kumbe wanatakiwa wakamiliahe taratibu!
  4. N

    Ufumbuzi wa uchaguzi wa meya Tanga

    Habari zenu wana jamvi? Jana itv nilis ikia wakisema uchaguzi wa meya Tanga ulivurugika,lakini nikamsikia meya aliyegombea kwa tiketi ya ccm akiomba wananchi kua na subira na kuomba ushirikiano ili kuwaletea maendeleo,. Je uamuzi una baki huo au kuna hatua za kurudia uchaguzi?
  5. N

    Prof. Lipumba: CHADEMA wamepoteza dira

    kama hoja ilikua kumkataa kumnadi Lowassa angenadi hata wabunge na madiwani wa ukawa,kosa alilofanya ni kuwakimbia watu wakiwa katika kipindi kigumu cha uchaguzi,c ajabu kwa ushawishi aliokua nao kwenye ukawa wabunge na madiwani wangeongezeka,nilimwamini sana Lipumba lakini kwa sasa namfananisha...
  6. N

    Prof. Lipumba: CHADEMA wamepoteza dira

    kama hoja ni kukataa kumnadi lowassa basi angenadi hata wabunge na madiwani wa ukawa,kosa kubwa ni kuwakinbia watu wakiwa kwenye hatua za mwisho kuelekea uchaguzi,binafsi nilimpenda sana Lipumba lakini kwa sasa sina imani nae kabisa,hana tofauti na mtu anayeaminiwa kugombea na mwisho akashindwa...
  7. N

    Arusha: Hongera Monaban (Mollel), CCM umeibeba vya kutosha

    VUTA-NKUVUTE Bora wewe ni mkweli,unauzungumza ukweli ili ufumbuzi upatikane
  8. N

    Ufisadi mkubwa tena kwenye kampeni za CCM mwaka 2015

    zilitoka kwa wafadhili
  9. N

    Je, bado kuna umuhimu wa kuhamisha makao makuu ya nchi Dodoma?

    kuhamia Dodoma kufanya nini?
  10. N

    Taarifa ya ubatilisho wa Milki ya ardhi

    asante kwa taarifa
  11. N

    Zaidi ya 50% ya wabunge CHADEMA kushindwa 2020

    ccm ingepoteza majimbo mengi kama tume ingekua huru
  12. N

    Zaidi ya 50% ya wabunge CHADEMA kushindwa 2020

    ccm ingepoteza zaidi ya waliopoteza kama tume ingekua huru
  13. N

    Mheshimiwa Spika na Rais wa Jamhuri ya Muungano mlichokifanya sio sahihi

    Matatizo makubwa huanza na madogo;unakosea kutengeneza kejeli iliyotokana na kejeli,jitahidini kuona suluhisho linapatikana kwa kutowapuuza watu
Back
Top Bottom