Apo issue iko ivi kaka mwanamke yoyote hawezi kuzaa na mwanaume asiyempenda ivo mpaka umeona amezaa na mwanaume uyo ujue amempenda ipo siku watatafutana tu kupitia malezi ya mtoto na wewe ukiwa naye katika ndoa sio kwamba mtaishi muda wote na furaha na amani kuna mapito pia apo ndo utamjua...
Naitaji mke wa pili kama hutojali ni dm nina nyumba mbili moja anakaa mke wangu mkubwa mbande tambani uko na ingine ipo msongola ndo namalizia hutajutia mtoto mzuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.