Recent content by ngakotecture

  1. N

    JamiiForums Tanzania José Mourinho kusaini mkataba wa miaka miwili na Real Madrid

    Ili amnyooshe diara cha kudeka🤣
  2. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanangu usiniletee single maza

    Apo issue iko ivi kaka mwanamke yoyote hawezi kuzaa na mwanaume asiyempenda ivo mpaka umeona amezaa na mwanaume uyo ujue amempenda ipo siku watatafutana tu kupitia malezi ya mtoto na wewe ukiwa naye katika ndoa sio kwamba mtaishi muda wote na furaha na amani kuna mapito pia apo ndo utamjua...
  3. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanangu usiniletee single maza

    Yupo sahihi 100%
  4. N

    JamiiForums Tanzania KERO Mirathi yetu inacheleweshwa kulipwa bila sababu za msingi na Kitengo cha Malipo ya Mirathi

    Hahahaha nacheka kama mazuri ila hujawaelewa hao wanachotaka
  5. N

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    Ni kweli aisee hakuna faida kwa wazazi wako kuzaa mtu mbinafsi kama wewe kama kwako haina faida usiwashauri na wengine aiseeh.
  6. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bongo Zozo anamzidi akili Jaji Chande(?) Common sense must prevail

    Ila wezi wa mabilioni wanaotajwa na CAG aaaaah hawaguswi nb:mwizi ni mwizi tu iwe hao vibaka wadogo au hao wa mabilion mnaosema watajwe waone aibu.
  7. N

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 yawasilisha ripoti leo Aprili 23, 2026

    Mambo ya intelejinsiaaaaa🤣
  8. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: AFCON 2027 huenda ikapelekwa South Africa

    Kwaiyo kenya hajatoa bado?
  9. N

    JamiiForums Tanzania Series gani uliwahi kuangalia na hutamani Tena?

    Kwanini umejuta mkuu na hii series inahusu nini?
  10. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha ya kujitegemea ni magumu nyie

    Naitaji mke wa pili kama hutojali ni dm nina nyumba mbili moja anakaa mke wangu mkubwa mbande tambani uko na ingine ipo msongola ndo namalizia hutajutia mtoto mzuri.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Hivi huwaga kuna biashara gani inafanyika pale?

    Ukiibiwa ukienda polisi kulia ,polisi atakuuliza ungekula ungekuja?
  12. N

    JamiiForums Tanzania Dalili sita za kugundua ugonjwa wa figo

    Pole mkuu una umri gani na uzito wako kilogram ngapi?
  13. N

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje nchi moja inakuwa na mafanikio makubwa hivi?

    Boxing sasa weeew
  14. N

    JamiiForums Tanzania Usanii hauishi, eti wameongezewa muda

    Inasikitisha sana yani.
Back
Top Bottom