Recent content by ngakotecture

  1. N

    Nauza sofa 3M- Upanga Dsm

    Yani ilo kasamala ni 3m?aiseee
  2. N

    TPA: Ada ya Uendelezaji wa Miundombinu ya Bandari kuanza kutekelezwa leo Julai 1, 2026 katika bandari zote za Bahari Kuu

    Duh sasa izo tozo za mizigo za awali zinafanyiwa nini kama sio zitumike kuboresha iyo miundombinu daaaaa
  3. N

    José Mourinho kusaini mkataba wa miaka miwili na Real Madrid

    Ili amnyooshe diara cha kudeka🤣
  4. N

    Mwanangu usiniletee single maza

    Apo issue iko ivi kaka mwanamke yoyote hawezi kuzaa na mwanaume asiyempenda ivo mpaka umeona amezaa na mwanaume uyo ujue amempenda ipo siku watatafutana tu kupitia malezi ya mtoto na wewe ukiwa naye katika ndoa sio kwamba mtaishi muda wote na furaha na amani kuna mapito pia apo ndo utamjua...
  5. N

    Hivi kuna faida gani kuzaa watoto hapa duniani? Mimi naona hakuna faida, ni kuletana kwenye shida na matatizo, pia kujiongezea majukumu tu

    Ni kweli aisee hakuna faida kwa wazazi wako kuzaa mtu mbinafsi kama wewe kama kwako haina faida usiwashauri na wengine aiseeh.
  6. N

    PostGE2025 Bongo Zozo anamzidi akili Jaji Chande(?) Common sense must prevail

    Ila wezi wa mabilioni wanaotajwa na CAG aaaaah hawaguswi nb:mwizi ni mwizi tu iwe hao vibaka wadogo au hao wa mabilion mnaosema watajwe waone aibu.
  7. N

    Tetesi: AFCON 2027 huenda ikapelekwa South Africa

    Kwaiyo kenya hajatoa bado?
  8. N

    Series gani uliwahi kuangalia na hutamani Tena?

    Kwanini umejuta mkuu na hii series inahusu nini?
Back
Top Bottom