Recent content by ngaiwoye

  1. N

    Hali aliyokuwa nayo Bob Risky baada ya kuhukumiwa

    Huyo ni yeye. Anapaka makeup za hali ya juu sana pamoja na picha zake LAZMA ziwekwe filter. Hao watu huskii wanamwita bibi? Halafu angalia kucha
  2. N

    Hali aliyokuwa nayo Bob Risky baada ya kuhukumiwa

    Mi nikipata wasiwasi lkn nikaangalia makucha, ni yeye. Nafkiri bob anafanyaga vile Ili auze mikorogo. Kila mwanamke anataka awe mweupe. Na hakuna kitu kina pesa kama mikorogo
  3. N

    Jiji la Arusha lamkana Mfanyabiashara Chambulo wadai 'amepotosha'

    Hahahaha unamjua wilee wewe, hafai hata kua katibu kata... Huko alipo ndo anafaa Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
  4. N

    Jiji la Arusha lamkana Mfanyabiashara Chambulo wadai 'amepotosha'

    We unaijua Arusha ama unaiskia?? Wafanyabiashara hapa walikuwa hawataki kulipa service levy, Wana malimbikizo makubwa ya NYUMA na Sasa huyu mkurugenzi amekuja kuisimamia SHERIA na kukusanya fedha za serikali, wafanyabiashara hawataki... Wanamuundia zengwe hivyo.. sababu tu ya kuisimamia mapato...
  5. N

    Jiji la Arusha lamkana Mfanyabiashara Chambulo wadai 'amepotosha'

    Hiyo ni service levy, inapaswa kulipa 0.3%, hiyo sio tax ni ushuru wa huduma
  6. N

    Jiji la Arusha lamkana Mfanyabiashara Chambulo wadai 'amepotosha'

    Chamburo Ile bange yake inampeleka pabaya... Kwenye hili HAYUPO sahihi
  7. N

    Makonda: Ninawajua wanaowalipa vijana kuwatukana viongozi mitandaoni, wakiendelea nitawataja

    Admin naomba edit Makonda wadogo isomeke Makinda wadogo
  8. N

    Makonda: Ninawajua wanaowalipa vijana kuwatukana viongozi mitandaoni, wakiendelea nitawataja

    Hivi karibuni nchini kwetu pamekuwa na utoaji wa maoni kwa uhuru, jambo ambalo ni zuri, lakini sasa uhuru huu umeanza kutumika vibaya, hali ambayo haikubaliki kamwe. Ndugu zangu, Taifa lolote ambalo wananchi wake hawana nidhamu, heshma wala utii kwa mamlaka ambazo zipo madarakani kiuhalali...
  9. N

    P. Diddy kumbe ni mchafu na muovu zaidi ya shetani!

    Hahaha ni crip, sema kweli music wa kimarekani una maagani ya kishetani na mambo maovu sana NYUMA ya pazia
  10. N

    Ni maendeleo gani Makonda aliyoyafanya akiwa mkuu wa mkoa wa DSM?

    Nina uhakika Makonda atasimamia haki, hapa Arusha Pana dhuluma kubwa sana na mara nyingine dhulma husimamiwa na viongozi waandamiz. Natarajia Makonda atadhibiti maadili Ili kuokoa nguvu kazi. Wadudu wanavuta sana bange, skanka na kunywa mapombe hovyo. Makonda atadhiniti waizi na upuuzi wa toyo...
  11. N

    Je, ni kweli January Makamba na Maharage Chande waliamuru maji yafunguliwe na kumwagika kwenye bwawa la Mtera?

    Kwani wakati January na Chande wakisema maji yapunguzwe mitambo yote ilikuwa imewashwa??? Mlimwonea January sana na kutaka kumchafua kisiasa kwa maswala haya na mengine... Sasa zigo Hilo hapo akawaachia, pambaneni nalo
Back
Top Bottom