Recent content by ngaiwoye

  1. N

    JamiiForums Tanzania Je Mwenza wa Rais anapofariki Msiba wake ni wa Kitaifa, na Bendera kupepea nusu Mlingoti au?

    Kama marekani juzi doly Parton alishushiwa
  2. N

    JamiiForums Tanzania Je Katiba inasemaje ikiwa Rais atakuwa Eda?

    Eda ni siku ngapi? Mke gani wa JK. Alifariki mbona salima yupo
  3. N

    JamiiForums Tanzania Je Katiba inasemaje ikiwa Rais atakuwa Eda?

    We unaiona hii hoja ya kipumbavu? Hujawahi kuskia mwanamke wa kiislam akifiwa anakaa Eda?
  4. N

    JamiiForums Tanzania Je Katiba inasemaje ikiwa Rais atakuwa Eda?

    Kwahiyo Rais hakai Eda?
  5. N

    JamiiForums Tanzania Je Katiba inasemaje ikiwa Rais atakuwa Eda?

    Acha matusi jibu hoja
  6. N

    JamiiForums Tanzania Je Katiba inasemaje ikiwa Rais atakuwa Eda?

    Huo ni ubaguzi
  7. N

    JamiiForums Tanzania Je Katiba inasemaje ikiwa Rais atakuwa Eda?

    Kwanza nampa pole sana mheshimwa Rais wetu pamoja na familia na watanzania kwa msiba mzito uliotukumba leo. Swali langu kwa mujib wa dini ya kiislam mke hukaa eda pindi anapofiwa na mumewe. Je katiba yetu itaruhusu Rais wetu akae eda ama itambidi afanyie majukumu yake nyumbani kipindi chote cha...
  8. N

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Si wamesema moyo
  9. N

    JamiiForums Tanzania Juma Lokole ampost mke mwenzie Wolper, aongea na Richmitindo live na kuthibitisha

    Hu amira Richie mitindo hatamuweza kaabisa. Huyu aliachika kwa yule msomali tajiri wa kenya
  10. N

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi aagiza Dudubaya akamatwe kwa kukaidi Wito wa Serikali

    Wakimtoa kwenye ramani wataharibu..konki ana wafuasi. Yani wataamsha hasira za watu. Wangemwacha hivyohivyo, konki anahitaji msaada na sio adhabu
  11. N

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Kukabidhi ofisi sio lazma, hayo mavyeo ni mataasisi. What if angekuwa kafariki? Asingeingia makamo mwingine?
  12. N

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Aliutaka uenyekiti wa yuvisisyem, akajichanganya huko bungen et ana list ya wauza sembe, hapo ndipo nafas ilipatkana..ikabak stry wauza dona ndo wameimaliza kazi
  13. N

    JamiiForums Tanzania Afande Sele: Si sahihi Waziri Katambi kumuita Dudu baya kwenye Meza walipokaa wenye tuhuma za Ushoga

    Je alivyolazimishwa kuoa, alioa?
  14. N

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Alishikiliwa jumbe aliekua Rais wa sirikali ya mapinduz na makamo wa kwanza wa Rais...so hakuna jipya chini ya jua
  15. N

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

    Amina chifupa nae si alitamani hilo fupa la uvccm ama umesahau?
Back
Top Bottom