Anashambuliwa wapi sasa, New York ama Washington?? Tehran imeharibiwa ..kwanini Tehran inapiga nchi ambazo hqziko nae vitani?? Ndo ujue irqn haipaswi kuwa na newclear kabisa MAANA itaonea wengine. Iran inapiga Dubai kwanini isipige Washington?
Hivi kuna yule hakimu anaitwaga toto..Kuna wakati alikuwa na kesi za shangazi yangu mbili...za kumkomesha. Na alimkomesha shangazi yangu haswa...maromboso kwa rushwa ni hatari. Hivi Toto yupo? Toto alikuwa anakaa ofisi Moja na hakimu mwanamke mweupe mjema kama sikosei naomba nisahihishwe..kazi...
Makonda ameongea kiingereza kizuri kabisa na alijiamini. Makonda ana nyota kali balaaa, yule ameumbwa hivyo. Nina uhakika Arusha itapata maendeleo sana tu...
Ni sahihi kabisa anavyosema. Unajua Kuna magangwe hapa nchini ambao wao wanajiona wajanja na wachawi sana kiasi wanashindana na viongozi...waziri mkuu ametoa maagizo na hawayatekelezi
Kwahiyo unataka tukamwambie Lupumba sio, yaan jamhuri ya muungano wa Tanzania ni bara na visiwani hivyoo...sa katiba ikifatwa sawasawa huyu ni pm wa Hadi zenji....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.