Recent content by ngaiwoye

  1. N

    JamiiForums Tanzania Je, January Makamba “anahifadhiwa” kisiasa kwa ajili ya urais wa baadaye?

    Jamani lijanuari lizuri lile
  2. N

    JamiiForums Tanzania My worry is rhis ; Mafwele does not need going to the USA

    Haezi pata visa Europe wala UK haha Canada na scanavia countries. Mara nying ndo inakuwaga hivyo, hao marafiki wa marekani
  3. N

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hili shangwe la Wabunge kwa Shaka Hamdu Shaka linamaanisha nini kwa Siasa za Sasa, Je arudishwe?

    Shaka is the best. Mtulivu hana wenge, kiongoz mwanasiasa mtulivu
  4. N

    JamiiForums Tanzania Nape adai Januari Makamba ana akili sana

    Ni kweli Januu yuko vizuri sana kichwani
  5. N

    JamiiForums Tanzania Trump: Tutashambulia Iran vikali zaidi kwa wiki 2 hadi 3 na kuwarudisha zama za mawe wanakostahili kuwa

    Anashambuliwa wapi sasa, New York ama Washington?? Tehran imeharibiwa ..kwanini Tehran inapiga nchi ambazo hqziko nae vitani?? Ndo ujue irqn haipaswi kuwa na newclear kabisa MAANA itaonea wengine. Iran inapiga Dubai kwanini isipige Washington?
  6. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mahakama chunguzeni rushwa mahakama ya mwanzo Arusha(Maromboso)

    Hivi kuna yule hakimu anaitwaga toto..Kuna wakati alikuwa na kesi za shangazi yangu mbili...za kumkomesha. Na alimkomesha shangazi yangu haswa...maromboso kwa rushwa ni hatari. Hivi Toto yupo? Toto alikuwa anakaa ofisi Moja na hakimu mwanamke mweupe mjema kama sikosei naomba nisahihishwe..kazi...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Hofu yatanda kwa wafanyabiashara wa Coco Beach, wadai kupewa mwezi mmoja kuondoka kumpisha mwekezaji

    Huyo pisi mzuri haswaaa...huyo afisa biashara kwa clip hii ajiandae kufunga virago kosa rushwa ya ngono
  8. N

    JamiiForums Tanzania Ujio wa wazi viumbe kutoka sayari nyingine utaleta mapinduzi makubwa sana Duniani

    Tutakuwa tusharudi duniani kwa mara ingine aisee, naamini Kuna ujio wa pili
  9. N

    JamiiForums Tanzania Hivi mbona M-Wekeza gawio ninalopata haliendeni na kiwango changu, mwezi uliopita Nina 19 M wakaniwekea gawio la 158000

    Kuliko ikae benki ikatwe Kila mwezi, ni Bora ikae kwenye uwekezaji iongezeke
  10. N

    JamiiForums Tanzania Baada ya kusema hajawahi Kuona Makonda akiongea Kingereza. Makonda aamua kumwaga ung'eng'e akiwa na Mchina kama majibu kwa wanaotilia Shaka uwezo wake

    Makonda ameongea kiingereza kizuri kabisa na alijiamini. Makonda ana nyota kali balaaa, yule ameumbwa hivyo. Nina uhakika Arusha itapata maendeleo sana tu...
  11. N

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mkurugenzi wa uendeshaji wa EFM na TVE Dennis Ssebo Afariki Dunia

    Eatv alifanya, hii ni ya ITV
  12. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    Kwasababu hawafikishwi kileleni. Waume zao hawawakazi sawasawa. Sisi wanaume tuache unselfishness katika maswala ya kitandani. Tunajifkiria wenyewe tu, tukishafika kileleni tunashuka
  13. N

    JamiiForums Tanzania Sijaelewa kinachoendekea. Waziri mkuu anajinasibu kuwa ana kinga na hamuwezi kumfanya kitu? Au mimi nimeelewa vibaya?

    Ni sahihi kabisa anavyosema. Unajua Kuna magangwe hapa nchini ambao wao wanajiona wajanja na wachawi sana kiasi wanashindana na viongozi...waziri mkuu ametoa maagizo na hawayatekelezi
Back
Top Bottom