Recent content by ngaiwoye

  1. N

    JamiiForums Tanzania Sanuka, chuma hazipimwi kwa macho

    Naskia anaekula ARV haambukizi, ila siku akiacha anakuambukiza
  2. N

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 bongo flavour, Dj ana kisa na Irene Uwoya na wenzie?

    Staki wameliwa sana
  3. N

    JamiiForums Tanzania GeorDavie kwenye kashfa nyingine ya ngono na uchawi na binti wa kizungu

    Mungu amsaidie mtumishi Geo. Hii ni kashfa ya pili, kuna ile ya secretary wake ilienda mahakamani hadi yule dada akatalikiwa. Sasa sijui ni wanamsingizia mtumishi ili wapate nini..anyways, neno litasimama
  4. N

    JamiiForums Tanzania Miaka 30 bongo flavour, Dj ana kisa na Irene Uwoya na wenzie?

    Walipopanda jukwaani Irene Uwoya, Kajala, Aunt Ezekiel na Jaqline Wolper waliwekewa ule wimbo 'nakupenda bibi kizee nakupenda kikongwe'...kweli baada ya pale nawaona hawa kama wakongwe wenzangu. Kweli wamekula chumvi na sio wadogo kama wanavyotudanganya bali wanasaidiwa na filters na makeups
  5. N

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya chatgpt, Gemin na meta AI nani anatoa taarifa za kweli?

    Huezi amini meta mimi inanisaidia sana. Sema tatizo lake ukiiambia kitu in one month inaweza kusahau, otherwise inasaidia sana
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ulinzi uimarishwe Agosti 07, 2026 - Kuelekea Kutabaruku Kanisa Katoliki - Arusha

    Asante sana. Naunga mkono hoja, tena huwa ana huruma sana, na ukifika ofisini kwake anakuskiliza kwa heshima bila kujali hali yako...mi hua nashangaa sana hizi sifa mbaya anazopewa mafwele huku mtandaoni.. mafwele aliondoka Arusha na kuacha pengo kubwa sana kwa kipindi kile..Mafwele ni mtu kazi...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Upasuaji wa Kujifungua: Kuokoa maisha au hofu ya uchungu?

    Nilizaa na 26yrs, 32yrs,38yrs kawaida kaabisa. Zingatia ulaji wa ba,ia ukiwa mjamzito. Siku ya kujifungua ule television utakusaidia na hutokaa uchanike. Ukizaa pumzika walai miaka 5-6, uke unarud mwake
  8. N

    JamiiForums Tanzania KERO Apps za mikopo mitandaoni, serikali ipo wapi?

    Uliwalipa ? Maana hata ukipunguza deni hawaelewi
  9. N

    JamiiForums Tanzania KERO Apps za mikopo mitandaoni, serikali ipo wapi?

    Hayo Mariba yao ni makubwa na unakuta unaambiwa unakopeshwa laki tatu halafu unatumiwa 197000, nyingine unaambiwa makato ya kushughulikia mkopo...unaanza kudaiwa hela yote kwa muda wa siku sita, maana siku moja kabla wanaanza kukutishia
  10. N

    JamiiForums Tanzania Hivi kampuni za kukopesha mikopo mtandaoni zinamilikiwa na nani? Mbona hazichukuliwi hatua?

    Siku hizi kutokana na mambo mengi uhitaji wa mikopo umeongezeka kwenye jamii. Hivi sasa pia kuna kampuni zinazokopesha mtandaoni kwa njia ya kijiditali, jambo ambalo ni zuri na linarahisisha mambo. Cha kushangaza mikopo hii ni kausha damu, haifati viwango vya riba vilivyowekwa na benki kuu ya...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya maudhi madogomadogo yanayokera wakati wa tendo

    Pipi kifua zinasaidia nini?
  12. N

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya Hidaya wa Pepe Kalle na DJ Mark Hope

    Ss
  13. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

    Sio mchanga mana mchanga hauchafui, sema udongo ulochanganywa maji aka tope
  14. N

    JamiiForums Tanzania Mufti onyesha nguvu za Mungu kumsaidia Sheik Walid Kawambwa, ameonewa. Kuna siku nawe yatakukuta haya haya

    Kiongozi wa dini amepiga picha amekubatiwa na mwanamke ambae sio mkewe, hiyo ni kinyume kabisa na maelekezo ya dini Tukufu ya Allah. Hivyo ni viashiria vya uasherati tena ukizingatia huyo huyo mwanamke anasema amezaa nae.. tuhuma tu zinatosha kuuengua uongozi wake
Back
Top Bottom