Mungu amsaidie mtumishi Geo. Hii ni kashfa ya pili, kuna ile ya secretary wake ilienda mahakamani hadi yule dada akatalikiwa. Sasa sijui ni wanamsingizia mtumishi ili wapate nini..anyways, neno litasimama
Walipopanda jukwaani Irene Uwoya, Kajala, Aunt Ezekiel na Jaqline Wolper waliwekewa ule wimbo 'nakupenda bibi kizee nakupenda kikongwe'...kweli baada ya pale nawaona hawa kama wakongwe wenzangu.
Kweli wamekula chumvi na sio wadogo kama wanavyotudanganya bali wanasaidiwa na filters na makeups
Asante sana. Naunga mkono hoja, tena huwa ana huruma sana, na ukifika ofisini kwake anakuskiliza kwa heshima bila kujali hali yako...mi hua nashangaa sana hizi sifa mbaya anazopewa mafwele huku mtandaoni.. mafwele aliondoka Arusha na kuacha pengo kubwa sana kwa kipindi kile..Mafwele ni mtu kazi...
Nilizaa na 26yrs, 32yrs,38yrs kawaida kaabisa. Zingatia ulaji wa ba,ia ukiwa mjamzito. Siku ya kujifungua ule television utakusaidia na hutokaa uchanike. Ukizaa pumzika walai miaka 5-6, uke unarud mwake
Hayo
Mariba yao ni makubwa na unakuta unaambiwa unakopeshwa laki tatu halafu unatumiwa 197000, nyingine unaambiwa makato ya kushughulikia mkopo...unaanza kudaiwa hela yote kwa muda wa siku sita, maana siku moja kabla wanaanza kukutishia
Siku hizi kutokana na mambo mengi uhitaji wa mikopo umeongezeka kwenye jamii. Hivi sasa pia kuna kampuni zinazokopesha mtandaoni kwa njia ya kijiditali, jambo ambalo ni zuri na linarahisisha mambo.
Cha kushangaza mikopo hii ni kausha damu, haifati viwango vya riba vilivyowekwa na benki kuu ya...
Kiongozi wa dini amepiga picha amekubatiwa na mwanamke ambae sio mkewe, hiyo ni kinyume kabisa na maelekezo ya dini Tukufu ya Allah. Hivyo ni viashiria vya uasherati tena ukizingatia huyo huyo mwanamke anasema amezaa nae.. tuhuma tu zinatosha kuuengua uongozi wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.