Mi nikipata wasiwasi lkn nikaangalia makucha, ni yeye. Nafkiri bob anafanyaga vile Ili auze mikorogo. Kila mwanamke anataka awe mweupe. Na hakuna kitu kina pesa kama mikorogo
We unaijua Arusha ama unaiskia?? Wafanyabiashara hapa walikuwa hawataki kulipa service levy, Wana malimbikizo makubwa ya NYUMA na Sasa huyu mkurugenzi amekuja kuisimamia SHERIA na kukusanya fedha za serikali, wafanyabiashara hawataki... Wanamuundia zengwe hivyo.. sababu tu ya kuisimamia mapato...
Hivi karibuni nchini kwetu pamekuwa na utoaji wa maoni kwa uhuru, jambo ambalo ni zuri, lakini sasa uhuru huu umeanza kutumika vibaya, hali ambayo haikubaliki kamwe.
Ndugu zangu, Taifa lolote ambalo wananchi wake hawana nidhamu, heshma wala utii kwa mamlaka ambazo zipo madarakani kiuhalali...
Nina uhakika Makonda atasimamia haki, hapa Arusha Pana dhuluma kubwa sana na mara nyingine dhulma husimamiwa na viongozi waandamiz.
Natarajia Makonda atadhibiti maadili Ili kuokoa nguvu kazi. Wadudu wanavuta sana bange, skanka na kunywa mapombe hovyo.
Makonda atadhiniti waizi na upuuzi wa toyo...
Kwani wakati January na Chande wakisema maji yapunguzwe mitambo yote ilikuwa imewashwa??? Mlimwonea January sana na kutaka kumchafua kisiasa kwa maswala haya na mengine... Sasa zigo Hilo hapo akawaachia, pambaneni nalo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.