Recent content by ngaiwoye

  1. N

    Trump: Tutashambulia Iran vikali zaidi kwa wiki 2 hadi 3 na kuwarudisha zama za mawe wanakostahili kuwa

    Anashambuliwa wapi sasa, New York ama Washington?? Tehran imeharibiwa ..kwanini Tehran inapiga nchi ambazo hqziko nae vitani?? Ndo ujue irqn haipaswi kuwa na newclear kabisa MAANA itaonea wengine. Iran inapiga Dubai kwanini isipige Washington?
  2. N

    DOKEZO Mahakama chunguzeni rushwa mahakama ya mwanzo Arusha(Maromboso)

    Hivi kuna yule hakimu anaitwaga toto..Kuna wakati alikuwa na kesi za shangazi yangu mbili...za kumkomesha. Na alimkomesha shangazi yangu haswa...maromboso kwa rushwa ni hatari. Hivi Toto yupo? Toto alikuwa anakaa ofisi Moja na hakimu mwanamke mweupe mjema kama sikosei naomba nisahihishwe..kazi...
  3. N

    Hofu yatanda kwa wafanyabiashara wa Coco Beach, wadai kupewa mwezi mmoja kuondoka kumpisha mwekezaji

    Huyo pisi mzuri haswaaa...huyo afisa biashara kwa clip hii ajiandae kufunga virago kosa rushwa ya ngono
  4. N

    Ujio wa wazi viumbe kutoka sayari nyingine utaleta mapinduzi makubwa sana Duniani

    Tutakuwa tusharudi duniani kwa mara ingine aisee, naamini Kuna ujio wa pili
  5. N

    Hivi mbona M-Wekeza gawio ninalopata haliendeni na kiwango changu, mwezi uliopita Nina 19 M wakaniwekea gawio la 158000

    Kuliko ikae benki ikatwe Kila mwezi, ni Bora ikae kwenye uwekezaji iongezeke
  6. N

    Baada ya kusema hajawahi Kuona Makonda akiongea Kingereza. Makonda aamua kumwaga ung'eng'e akiwa na Mchina kama majibu kwa wanaotilia Shaka uwezo wake

    Makonda ameongea kiingereza kizuri kabisa na alijiamini. Makonda ana nyota kali balaaa, yule ameumbwa hivyo. Nina uhakika Arusha itapata maendeleo sana tu...
  7. N

    Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    Kwasababu hawafikishwi kileleni. Waume zao hawawakazi sawasawa. Sisi wanaume tuache unselfishness katika maswala ya kitandani. Tunajifkiria wenyewe tu, tukishafika kileleni tunashuka
  8. N

    Sijaelewa kinachoendekea. Waziri mkuu anajinasibu kuwa ana kinga na hamuwezi kumfanya kitu? Au mimi nimeelewa vibaya?

    Ni sahihi kabisa anavyosema. Unajua Kuna magangwe hapa nchini ambao wao wanajiona wajanja na wachawi sana kiasi wanashindana na viongozi...waziri mkuu ametoa maagizo na hawayatekelezi
  9. N

    Mwigulu Nchemba (PhD): Soma hapa

    Utajua monyewe ulitegemeAnjue kuandika na nimesomea Senti kayumba, heRiyako wee msome
  10. N

    Mwigulu Nchemba (PhD): Soma hapa

    Utajua monyewe. Tena ujue jamhuri ya muungano wa Tanzania ni bara na visiwani. Visiwa vipo pande zote mbili lakini
  11. N

    Mwigulu Nchemba (PhD): Soma hapa

    Kwahiyo unataka tukamwambie Lupumba sio, yaan jamhuri ya muungano wa Tanzania ni bara na visiwani hivyoo...sa katiba ikifatwa sawasawa huyu ni pm wa Hadi zenji....
Back
Top Bottom