Asante mkuu kwa elimu, naomba kujua katika maeneo ya baridi kali kuna design naweza kufanya ili kuzua kupotea kwa joto la ndani ya nyumba hasa kipindi cha usiku? Au kuna namna gani nyingine naweza kufanya (any system installation s) ili kuingiza joto ndani ya nyumba??
Jamani mie bado mshamba wa AC naomba mnitoe ushamba
swali langu ni hivi
Unaweza kufunga AC kwa nia ya kuongeza joto ndani ya nyumba hasa kwa miji ya ya baridi kali kama Njombe, Makambako na Arusha?
Habari wana Jf
Naomba kusaidiwa kisheria.
Niliachana na mke wangu miaka miwili iliyopita, baada ya talaka aliamua kwenda mahamakani kudai mgawanyo wa mali za pamoja, na matunzo ya watoto.
Mahakama ikatoa hukumu ambayo binafsi sikuridhika nayo hivyo nikaamua kukata rufaa katika mahakama ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.