Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Inategemea na AC unayotumia.Ac hivi vikorokoro vingine ni kupoteza tu pesa bure,ila kwenye Ac jiandae kwenye umeme ukiwasha 24 hours inakula kuanzia unit 15 za umeme,ukiwasha usiku kuanzia saa mbili inakula unit 7 hadi asubuhi ni wewe tu kiongozi