ww ndio umeitendea haki topic...humu ndani bana kuna watu cjui vip...wapo wakisubiria watu wengine watupie topic ili wakosoe...
asante subiri itaingia kwenye mchujo...
Nahitaji kubadilisha avatar yangu...nawakaribisha wote kunichagulia avatar mpya..nitumieni picha za aina mbalimbali..
Na zoezi hilo sio bure, kwa atakayenichagulia avatar ntakayoipenda bonge la zawadi kutoka kwangu...
huu sio utani!!
Au bado mnaipenda hii iliopo?
hizi sehemu zinanishangaza....
sehemu imeandikwa ;
usitupe taka hapa....sehemu hiyo unakuta imejaa taka kibao...
si ruhusa kukojoa mahali hapa....harufu ya mkojo kwa kwenda mbele
usikae hapa, by utawala....watu kibao wamekaa....
na mengineyo mmeona...
haya matangazo yamewekwa juu ya...
Somo zuri kaka. Saaana!! Maana hata mimi limenikuta hilo, kijana nahangaika mwisho wa siku ni kusumbuana tu na kukojolea mashavuni mwa "mma"! Mbaya zaidi maandalizi yalikua yanachukua muda wa kutosha, ila ukitaka tu kubisha hodi, kesi. Ila KY inasaidia.
hilo ndio lilikuwa swali mdau...sasa kama mtu kapata mpaka mimba, anakwenda faragha kufanya nn?wanajuana in and out...hakuna jipya...tuache kuiga na kukopy na kupest...oa weka ndani endelea kupiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.