Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Unaamshwa na mkeo asubuhi na mapema kama saa kumi na moja asubuhi, upo fresh akili imesha tulia . Anakwambia kuna deal anaomba umsaidie. Ila upo choka mbaya, hata pesa ya daladala shida, nyumba yenyewe mnayo ishi ni tabutupu.
Unakaa vizuri kujua hilo deal??
" baba watoto, kuna mwanaume huko mjini ameniambia leo nikachukua hati niliyo nunua nyummba kwake pamoja na tsh. Millioni hamsini pesa kamili. Ila ili nipewe hivyo vyote natakiwa nimpe tunda kidogo tuu mara moja kama malipo ya hivyo vyote. Sasa naomba usikasirike naommba tuu niruhusu nimpe hitaji lake tubadili maisha kwani hata nikimpa si chumvi kwamba itaisha na utaikosa"
hii story ni realistic
haya mwanaume toa jibu;
Unakaa vizuri kujua hilo deal??
" baba watoto, kuna mwanaume huko mjini ameniambia leo nikachukua hati niliyo nunua nyummba kwake pamoja na tsh. Millioni hamsini pesa kamili. Ila ili nipewe hivyo vyote natakiwa nimpe tunda kidogo tuu mara moja kama malipo ya hivyo vyote. Sasa naomba usikasirike naommba tuu niruhusu nimpe hitaji lake tubadili maisha kwani hata nikimpa si chumvi kwamba itaisha na utaikosa"
hii story ni realistic
haya mwanaume toa jibu;