utaratibu ni kwamba baada ya rea kuingiza umeme kijijin au mahali kunakua na kipind cha miez 6 au 3 sina hakika ipi sahihi kat ya hzo bt muda huo ni kaalum kwa watu kupeleka complains yaan labda nguzo imejatiza kiwanja cha mtu au lalamiko lolote,kipindi hicho kikipita ndo wanawasha so jua mpole...
unajua watu wanapenda kukurupuka kulea vifaranga kuna htaj tahadhali ya hali ya juu,andaa mazingira kwanza kabla ya kuanza fanya survey uone wenzio wanafanyaje jipe mda wa kujifunza den ndo uanze ukiandaa mazingira vzur utafurah na ukikurupuka utachukia kila breed tujipe muda wa kujifunza wajameni
kimsing hakuna specific mda maana hyomimea ikiota unaangalia ukubwa wa majan unayotaka yakikaa mda mref ndo yanakua so chakulacwapata kingi,hii ni compliment ya chakula unachowapa haisubstute so unaeza wapa chakula cha kawaida asubuh jion ukawapa hayo màjan,kuwapa majan pekee kutawanyima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.