Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,368
Hili shirika la kikristo serikali iwaangalie kwa jicho pevu, ni matapeli, kuna picha za spika wa bunge akijihusisha nao na kuwapa hekari zaidi ya 700 Dodoma,
Pia wamekuwa wakimtaja waziri wa michezo Nape Nnauye kuwapa tafu ili waaminike, kwenye mikutano yao wamekuwa wakijitangaza kuwa wanashirikiana na mwanasheria mkuu wa zanzibar, hili shirika ni la kitapeli.
Askofu wao kashajinunulia gari kwa kuwatapeli watu kwa hela za interview,
Tunaomba serikali ichunguze hili shirika hewa.
Pia wamekuwa wakimtaja waziri wa michezo Nape Nnauye kuwapa tafu ili waaminike, kwenye mikutano yao wamekuwa wakijitangaza kuwa wanashirikiana na mwanasheria mkuu wa zanzibar, hili shirika ni la kitapeli.
Askofu wao kashajinunulia gari kwa kuwatapeli watu kwa hela za interview,
Tunaomba serikali ichunguze hili shirika hewa.