Kwani mradi wa REA una matatizo gani?

Kwani mradi wa REA una matatizo gani?

Fidelis Gregory

Senior Member
Joined
May 25, 2015
Posts
147
Reaction score
51
Ukweli naomba niulize maana sasa nashangaa saana kuona watu wanaleta Transformer inafungwa alafu inakaa miezi haifanyi kazi ukweli rea hapo mnapepesa macho au kama wameshindwa kazi wawape TANESCO.

Huku mkoa wa geita, geita vijijini eneo la Nkome karibu na RUBONDO transformer kama tano zimefungwa tu lakini wananchi hawana umeme.

Naomba kama kuna kiongoz atasoma uzii huu aje aangalie wakazi wa center hii wanahitaji saana umeme maana ni eneo linalokuwa kimaendeleo.

Je ni haki kuacha transformer haifanyi kazi wakati kuna watu chungu nzima wanahitaji umeme?????
 
Lengo la.kufunga hizo transformer ilikuwa ni kwa ajili ya kupiga pesa katika manunuzi na ufungaji wake
 
Ukweli naomba niulize maana sasa nashangaa saana kuona watu wanaleta Transformer inafungwa alafu inakaa miezi haifanyi kazi ukweli rea hapo mnapepesa macho au kama wameshindwa kazi wawape tanesco.Huku mkoa wa geita,geita vijijini eneo la Nkome karbu na RUBONDO transforms kama tano zimefungwa tu lakini wananch hawana umeme naomba kama kuna kiongoz atasoma uzii huu aje aangalie wakazi wa center hii wanahitaji saana umeme maana ni eneo linalokuwa kimaendeleo.JE,NI HAKI KUACHA TRANSFORMER haifanyi kazi wakati kuna watu chungu nzima wanahitaji umeme?????

Kuna vipaumbele vingi msimdrive.....!!
 
sasa huko c bora mmefungiwa na transoforma maeneo mengne nguzo zilisimikwa mwaka jana ila hadi leo hazina nyaya wala dalili ya kuwekewa nyaya
 
Ila inauma sana na sjui planner wa mradi huu alikuwa na lengo gani,na kingine ukweli Hawa watu wanaijosesha serikali na Tanesco mapato maana kwa ninavyopaona wangewawekea watu umeme wangekuwa wanapata fedha nyingi ila ndo hvyo
 
Ukweli naomba niulize maana sasa nashangaa saana kuona watu wanaleta Transformer inafungwa alafu inakaa miezi haifanyi kazi ukweli rea hapo mnapepesa macho au kama wameshindwa kazi wawape tanesco.Huku mkoa wa geita,geita vijijini eneo la Nkome karbu na RUBONDO transforms kama tano zimefungwa tu lakini wananch hawana umeme naomba kama kuna kiongoz atasoma uzii huu aje aangalie wakazi wa center hii wanahitaji saana umeme maana ni eneo linalokuwa kimaendeleo.JE,NI HAKI KUACHA TRANSFORMER haifanyi kazi wakati kuna watu chungu nzima wanahitaji umeme?????
utaratibu ni kwamba baada ya rea kuingiza umeme kijijin au mahali kunakua na kipind cha miez 6 au 3 sina hakika ipi sahihi kat ya hzo bt muda huo ni kaalum kwa watu kupeleka complains yaan labda nguzo imejatiza kiwanja cha mtu au lalamiko lolote,kipindi hicho kikipita ndo wanawasha so jua mpole ni sheria
 
Back
Top Bottom