Huyu wa ppt maendeleo anasema Kawe wanalima matikiti atajenga kiwanda cha kutengeneza juisi ya tikiti.
Atajenga fly over kwa kupata pesa toka ughaibuni
Kenyatta branch hapa Mwanza kuna mkaka mmoja na mama mtu mzima wananyodo wako hapo reception nilijaza fomu wakaichukua akaiweka akaenda kupiga story baada ya muda namuita ananiuliza nikusaidie nini?
Bongo kulikuwa na story inaitwa kwa Mungu Mbali, Mlinzi wa zamu na full beki bob mikwara alimchota mtama wa haja Mapungo na mpira ukaisha kuna wakati walienda kucheza Madrid. Daah nimekumbuka mbali sana
Sawa boss wangu hapa kwetu Mlali na Mgeta twatumia hizi ili plant population iwe sawa. Siko hapa kupinga
Na katika uzi huu niliona spacing ya 150 toka tuta mpaka tuta ni kubwa pia 40 kwa 40 hizi sio kwa bush nyanya sie hata hoho twatumia 45
Spacing ya 150 ni kubwa sana. Kwa hybrid nyanya recommended spacing ni 60 kwa 90 hapa ikiwa na maana mche mpaka mche 60 ma mstari mpaka mstari 90. Kwa nyanya za OPV tumia spacing ya 50 kwa 70.
Huyu sio le mutuz le bahari angekuwa ameshaandika le bus la masafa marefu full le kiyoyozi mazafantaz hawawezi routes ndefu yo know naingiza hela we cheza na keyboard tu ha ha ha ha
Nunua Actelic 300SC hii hutumika kwa kusafishia majengo na itamaliza tatizo lako kama una nyumba kubwa litre moja haizidi elfu 45 utapima mils 300 za dawa kisha unachanganya na maji lita 20. Lakini kama una chumba kimoja nunua Icon haizidi sh. 12 tatizo lako litakwisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.