Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,957
- 8,005
Nangalia hapa mdahalo Janeth Kaulizwa maswali amepaniki sana .Mdee ameelezea mafanikio aliyoyapata na changamoto zake na watu wamekubali. Janeth kaulizwa elimu yake kapanic zaidi hajajibu kasema elimu ni kujua kusoma na kuandika akaahidi kutaje elimu yake ila hajataja.
Kipi Warioba kaingia mtini hajatokea kwenye mdahalo.
-Mdee
amesadia eneo la Tanganyika parkers kurudi serekalini kutoka kwa Adamjee na mafisadi wakubwa wa ccm-mji mkubwa unajengwa pale sasa.
mgogoro wa chasimba na kiwanda cha saruji umeisha nilisalitiwa na wabunge wa ccm na waziri lakini tukalimaliza nguvu ya umma
vijana 4000 wa magereji waliokuwa wananyanyaswa Kinondoni swala hilo nimelifikisha wizarani mda si mrefu litakwisha. Akija Lowasa magereji yatapeta
kulikuwa na mgogoro wa kawe na jeshi kuhusu mipaka, nikawasiliana na waziri wa ulinzi na mambo yakaisha-makoooofiiiiiiiiiiiiiiiiiii
chama cha wananchi hakina hela wenye hela ni wananchi wanatoa kodi na wana haki ya kudai huduma.
Barabara ya mbezi kwa mnyika ilishashindikana sasa injengwa kiwango cha lami
tumejenga madaraja Goba ingawa barabara ya changarawe-makofiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mdee; tumetandaza mabomba wazo hili huko ya mm 600, 200 nk hata hivyo tumepiga pressure na bomba kuu la maji kuja DSM limefikia 90% na yakifika mabomba yapo tayari. Mgombea PPT maendeleo anamuunga mkono Lowassa wa UKAWA
mgombea wa chama cha Lifa Chipaka kasema anamuunga mkono Lowassa na anamlaumu mwenyekiti wake Lifa kwa kubaki kwenye bunge la katiba badala ya kuungana na UKAWA kadai hata mwenyekiti wake angegombea urais asingempa kura hata dunia iishe
yeah huyu dada wa ACT kaulizwa kuwa mbona ulikusanya 8000 kutoka kwa wakina mama hujazirudisha -amesema anafanyiwa siasa chafu na wanatakiwa kuangalia shepu yake kama ni ya mtu wa kuchukua 8000 za wanawake. Amedai mbunge hakuweza kusaidia kituo cha walimu lakini yeye ameweza kwa kutoa computer na printer anadai katoka CDM ndio maana wanamfanyia sisisa chafu ameshangiliwa na jamaa watatu wamevaa zambarau
Huyu Mboni anaongea mambo ya mgombea urais -kujenga fly-over,kununua boti nk .kasema atanunua treni kama ndege CCM imewapumbaza mnaona kila kitu hakiwezekani, haya mambo si ghali ataongea na wabunge wa ulaya ni easy tu watu wanavunja mbavu.
halima Mdee anaulizwa maswali -kwamba mbunge ameuza uwanja wampira hapo mbezi milioni 30-Halima anaulizwa na mkazi wa Mbezi juu uwanja wa jogooo.
halima,anajibu swali la kwanza juu ya hati za chasimba-anadai commitment ya kutoa ahadi ilitolewa na Lukuvi ambaye ni waziri wa serekali-ujumbe wako umefika na ni somo kwa wananchi juu ya ahadi za maccm.
kuhusu taarifa ya kazi zangu nilizofanya -nita tengeneza taarifa kama hicho kitabu ili kutoa mrejesho naomba uwe utaratibu wa viongozi wote tanzani
kuhusu foleni feeder roads barabara mchepuko tumesimamia za mchepuko anazitaja goba ,msewe kiwango cha lami
Uwanja wa mpira: Kata ya mbezi juu si eneo la makazi ni maalum kwa viwanda.Kuna eneo lilimilikishwa kwa mtu kihalali 2003 suala likawa mahakamani. eneo la viwanda likageuzwa eneo la makazi.ule uwanja umetumika kama uwanja wa michezo. lakini jamaa ana hati toka 2003. Kamanga mi sio mpigaji ningekuwa mpigaji ningekuwa bilionea anamwambia mtangazaji. anashauri kuwa wananchi wajiandikishe waombe ubatilishaji wa matumizi ya ule uwanja-asanteni wakuu
Kipi Warioba kaingia mtini hajatokea kwenye mdahalo.
-Mdee
amesadia eneo la Tanganyika parkers kurudi serekalini kutoka kwa Adamjee na mafisadi wakubwa wa ccm-mji mkubwa unajengwa pale sasa.
mgogoro wa chasimba na kiwanda cha saruji umeisha nilisalitiwa na wabunge wa ccm na waziri lakini tukalimaliza nguvu ya umma
vijana 4000 wa magereji waliokuwa wananyanyaswa Kinondoni swala hilo nimelifikisha wizarani mda si mrefu litakwisha. Akija Lowasa magereji yatapeta
kulikuwa na mgogoro wa kawe na jeshi kuhusu mipaka, nikawasiliana na waziri wa ulinzi na mambo yakaisha-makoooofiiiiiiiiiiiiiiiiiii
chama cha wananchi hakina hela wenye hela ni wananchi wanatoa kodi na wana haki ya kudai huduma.
Barabara ya mbezi kwa mnyika ilishashindikana sasa injengwa kiwango cha lami
tumejenga madaraja Goba ingawa barabara ya changarawe-makofiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mdee; tumetandaza mabomba wazo hili huko ya mm 600, 200 nk hata hivyo tumepiga pressure na bomba kuu la maji kuja DSM limefikia 90% na yakifika mabomba yapo tayari. Mgombea PPT maendeleo anamuunga mkono Lowassa wa UKAWA
mgombea wa chama cha Lifa Chipaka kasema anamuunga mkono Lowassa na anamlaumu mwenyekiti wake Lifa kwa kubaki kwenye bunge la katiba badala ya kuungana na UKAWA kadai hata mwenyekiti wake angegombea urais asingempa kura hata dunia iishe
yeah huyu dada wa ACT kaulizwa kuwa mbona ulikusanya 8000 kutoka kwa wakina mama hujazirudisha -amesema anafanyiwa siasa chafu na wanatakiwa kuangalia shepu yake kama ni ya mtu wa kuchukua 8000 za wanawake. Amedai mbunge hakuweza kusaidia kituo cha walimu lakini yeye ameweza kwa kutoa computer na printer anadai katoka CDM ndio maana wanamfanyia sisisa chafu ameshangiliwa na jamaa watatu wamevaa zambarau
Huyu Mboni anaongea mambo ya mgombea urais -kujenga fly-over,kununua boti nk .kasema atanunua treni kama ndege CCM imewapumbaza mnaona kila kitu hakiwezekani, haya mambo si ghali ataongea na wabunge wa ulaya ni easy tu watu wanavunja mbavu.
halima Mdee anaulizwa maswali -kwamba mbunge ameuza uwanja wampira hapo mbezi milioni 30-Halima anaulizwa na mkazi wa Mbezi juu uwanja wa jogooo.
halima,anajibu swali la kwanza juu ya hati za chasimba-anadai commitment ya kutoa ahadi ilitolewa na Lukuvi ambaye ni waziri wa serekali-ujumbe wako umefika na ni somo kwa wananchi juu ya ahadi za maccm.
kuhusu taarifa ya kazi zangu nilizofanya -nita tengeneza taarifa kama hicho kitabu ili kutoa mrejesho naomba uwe utaratibu wa viongozi wote tanzani
kuhusu foleni feeder roads barabara mchepuko tumesimamia za mchepuko anazitaja goba ,msewe kiwango cha lami
Uwanja wa mpira: Kata ya mbezi juu si eneo la makazi ni maalum kwa viwanda.Kuna eneo lilimilikishwa kwa mtu kihalali 2003 suala likawa mahakamani. eneo la viwanda likageuzwa eneo la makazi.ule uwanja umetumika kama uwanja wa michezo. lakini jamaa ana hati toka 2003. Kamanga mi sio mpigaji ningekuwa mpigaji ningekuwa bilionea anamwambia mtangazaji. anashauri kuwa wananchi wajiandikishe waombe ubatilishaji wa matumizi ya ule uwanja-asanteni wakuu