Recent content by NeyB

  1. NeyB

    whatsapp immediate help plz

    Imekubali kudownload,sahv inafail kuverify phone number...natumia airtel number..what culd be the problem!?
  2. NeyB

    whatsapp immediate help plz

    Sony experia P,ile inbuilt whatsapp icon imetoka,haipo kabisaa,najaribu kudownload upya kwa playstore inaleta msg that an error occured in brackets(403)...cjajua wanamaanisha!nifanyeje niweze kuidownload upya niwe online kama mwanzo!!help plz
  3. NeyB

    Tatizo la kutokwa na damu kwenye fizi: Fahamu chanzo na namna ya kutatua tatizo hili

    habari,naomba msaada wa kitaalamu niweze kutatua tatizo la kutoka damu wakati wa kupiga mswaki,pia ni aina gani ya toothpaste nitumie kuondoa tatizo au kama mtu anafahamu professional hospital that naweza kwenda wakanisaidia...tatizo limeanza ghafla tu,naomba msaada jmn,naboreka sana...Thanks.
  4. NeyB

    Wish to get a lover, nimekua single and lonely for so long, imetosha sasa

    ...especially ukiwa ndani tu bila mwelekeo,aaagh!!...romantic my foot
  5. NeyB

    Wish to get a lover, nimekua single and lonely for so long, imetosha sasa

    ...hahaaa,haya bhanaa!waleta utani kwa serious issues eeeh!
  6. NeyB

    Wish to get a lover, nimekua single and lonely for so long, imetosha sasa

    ...ntaweka features tu,soon,me ni 'KE'...is it kuna mkaka anauliza au ni weweee!!!mmh..
  7. NeyB

    Wish to get a lover, nimekua single and lonely for so long, imetosha sasa

    ..hehee upweke wangu haujaanza jana jmn
  8. NeyB

    Wish to get a lover, nimekua single and lonely for so long, imetosha sasa

    Wish to get a true lover, nimekua single n lonely for so long...I think imetosha sasa na umri nao haunisubiri mimi, tatizo linakuja "who!?..mmmh!
  9. NeyB

    Watafuta kazi fursa hii hapa

    Thank youu...sasa ngoja nianze kuconvice wenzangu...na hizo kazi za udereva serikalini or else tunazipatajee!?atleast tupe mwanga kidogo?..
  10. NeyB

    10 Commandments For A Youth(guy) To Be Successful

    Lovely thought...thanks
  11. NeyB

    Nampenda kuliko mke wangu.

    ..unataka kuacha shilingi moja ya kila siku kwa laki moja ya kupita...ckushauri umwache au kumuumiza mkeo,she is already ur wife,mwache huyo mliesoma nae ili naye apate wake hafu aone uchungu wa kupendwa nusunusu kama wew unavotaka kumfanyia mkeo..
  12. NeyB

    Karibu tutete kinyakyusa..

    Nataman kujua kilugha changu cha kinyakyusa jaman,the bad thing is naskia tu kuitikia sasa kimbembe..sina bibi,babu nor aunties wakunifundisha basi naishia kudakia hicho hicho cha baba na mama wakiongea...kama leo najickia kweli kuongea kinyakyusa jmn ila dah!kujibu sasa ndo mbombo jilipo...
  13. NeyB

    Msaada tafadhali..

    thanks,haijawahi kunitokea ndo mana nimepata mawazo,but tangu jana nahisi dalili zote mpaka nkahisi ntakua nimeanza but kutoka ndo haitoki...
  14. NeyB

    Msaada tafadhali..

    but cjasafiri out of dar,nipo hapahapa dar muda wote since my last period...
Back
Top Bottom