Nampenda kuliko mke wangu.

Nampenda kuliko mke wangu.

Wakati nasoma nilikuwa na mpenzi ambaye tulipendana sana baada ya kumaliza shule tulipoteana nilipata kazi na yeye aliendelea masomo na sasa tumekutana chuoni anadai bado ananipenda ingawaje tayar nina mke ispokuwa hata mimi nampenda sana nifanyeje.

endeleeni kupendana na ikiwezekana mgegedane tuu kwa raha zenu
 
La kufanya ni kutulia na kuacha tamaa. Mwambie fika kuwa una mke na yaliyopita hupishwa. Kama angekuwa anakufaa msingepotezana hata kukosa mawasiliano. Kama unataka kulikoroga ili llikushinde kulinywa endelea na mishi mishi hii. Yeye hana la kupoteza wewe una la kupoteza.
Wakati nasoma nilikuwa na mpenzi ambaye tulipendana sana baada ya kumaliza shule tulipoteana nilipata kazi na yeye aliendelea masomo na sasa tumekutana chuoni anadai bado ananipenda ingawaje tayar nina mke ispokuwa hata mimi nampenda sana nifanyeje.
 
Ulishawahi kusoma post ya The Boss kuhusu mambo kama yako? Naona utaihitaji sana very soon lol!
 
Last edited by a moderator:
muoe kabisa na huyo awe mke wa 2! Kama din hairuhusu mtimue kwanza wa kwanza ili uweze kumuoa huyo
 
Wakati nasoma nilikuwa na mpenzi ambaye tulipendana sana baada ya kumaliza shule tulipoteana nilipata kazi na yeye aliendelea masomo na sasa tumekutana chuoni anadai bado ananipenda ingawaje tayar nina mke ispokuwa hata mimi nampenda sana nifanyeje.

mle tigo
 
hata mkeo naye kuna jamaa alisoma naye na anampenda pia
 
Acha ujinga. Wewe mtie uanze; kaa na kifaa chako ulichokioa.
 
Imagine the same itokee Kwa mkeo, will you like? Dada yako? Shangazi yako? Au mama mzazi? It hurts then why doing it? Mshinde shetani kaka
 
Wakati nasoma nilikuwa na mpenzi ambaye tulipendana sana baada ya kumaliza shule tulipoteana nilipata kazi na yeye aliendelea masomo na sasa tumekutana chuoni anadai bado ananipenda ingawaje tayar nina mke ispokuwa hata mimi nampenda sana nifanyeje.

Jaribu kuongea na mke wako akupe ushauri wa kusuka au kunyoa
 
Kwani huyo kiumbe ana nini ambacho mkeo hana???

Labda tuanzie hapo...


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hivi unatutaka nini au unataka tukushaur nini asa.. mi mijanaume ya hiv inaniudhi kha. tulia na mkeo unajifanya unajua kupendaaa
 
Nikabidhi mkeo(napenda sana wake za watu) nimuoe,wewe endelea na huyo ex!
 
..unataka kuacha shilingi moja ya kila siku kwa laki moja ya kupita...ckushauri umwache au kumuumiza mkeo,she is already ur wife,mwache huyo mliesoma nae ili naye apate wake hafu aone uchungu wa kupendwa nusunusu kama wew unavotaka kumfanyia mkeo..
 
Back
Top Bottom