mbona maandiko yanaonyesha wazi kabisa kuwa amri zote kazitoa Mungu au umeamua tu kuandika soma kitabu cha kutoka mlango wa 19 wote na wa 20 wote utadhibitisha nani mtoa amri na pia soma kumbukumbu la Torati 5:1-22 iko wazi kuwa Mungua ndio aliyezitoa amri zote kabisaa ubarikiwe unapoendelea...
umempenda au umemtamani? Etii umempenda mke wa mtu kwa ujasiri kabisa khaaaaa vijana achen tamaa heshimuni ndoa za wenzenu umeshajaribu kuvaa hivyo viatu ingekuwa ni wewe rafiki yako amempenda mkeo?.
duuuh na wasiwasi wewe utakuwa sio mtanzania kabisaaaaaa kwa hali hii bado watanzania tuna safari ndefu sana.siku ukipenda kujua hifadhi zetu ziko chini ya nani usisite kutembelea ofisi za TANAPA, TATO, TTB hizi zote zaweza kukuelezea vizuri ukaelewa ubarikiwe unapoendelea kujifunza.
upotoshaji kama hujafanya uchunguzi huna haki ya kuzungumzia jambo unataka kutuaminisha hifadhi sio zetu ni za wazungu hivi watanzania tuna shida gani alafu umeshawaza unachoandika hapa kinafikiwa na watu wangapi huku ukipotosha mbuga zote ziko chini ya mamlaka ya hifadhi ya taifa Tanapa.na zote...
Yakobo 1:15 tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti tamaa mbaya ni vema tuwe na mioyo ya kuridhika na vile tuvipatavyo kwa wale watupao kama haitoshi fanya kazi uongeze lasi hivyo utavuna Rumi 6:23
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.