Nafanya kazi za officin. Hii ilitokea juzi nilikaa kwa kuukandamiza mkono chini hapa mwisho wa kiganja kwa muda mref baadae ndio nikaona hili tatizo baada ya kuinuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar JF Doctors. Nimepata tatizo la mkono kuishiwa nguvu hasa vidole vili vya mwisho nashindwa kuvinyòosha vizuri. Baadhi ya watu nilioqauliza wanasema inaweza kuwa
1. Ulnar nerve compression
2. Numbness
Please naomba msaada.
Shukran
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ya muda huu wadau,
Nafikiria kuanza kilimo cha mahindi ili kuangalia upande mwingine wa fursa za kutika kimaisha. Nimepanga kutafuta mashamba maeneo ya Bagamoyo au Msata kwa ajili ya kilimo cha mahindi. Naomba ushauri juu ya haya:
a) Aina ya mbegu ambazo ni nzuri kupanda kwa maeneo hayo...
Habari ya mda huu wadau. Mm ni mfanyakazi katika kampuni moja hapa dar es salaam. Kampuni ninayofanya kazi inafungwa si kwa sababu imefilisika ila ni kutokana na garama za uendeshaji na kodi kua juu.
Kampuni imetoa notice ya mwezi mmoja. Yani tarehe 25/6/2019 walituita wafanyakazi wote...
Habari ya mda huu wadau. Mm ni mfanyakazi katika kampuni moja hapa dar es salaam. Kampuni ninayofanya kazi inafungwa si kwa sababu imefilisika ila ni kutokana na garama za uendeshaji na kodi kua juu.
Kampuni imetoa notice ya mwezi mmoja. Yani tarehe 25/6/2019 walituita wafanyakazi wote...
Wale wananaopenda action za bongo hapa ndio uwanja wetu. Taja action movie unayo ikubali kutoka bongo.
Mimi. 1. BAGA
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.