Recent content by Newland

  1. Newland

    JamiiForums Tanzania Kadi ya mpiga kura - Hakiki taarifa kupitia simu yako

    Acheni kutapeliwa na namba za wezi wa mitandaoni ili kufanikisha goli la mkono, km umejiandikisha una wasiwasi gani subiri tarehe ukapige kura yako. Au nenda kituo uicjoandikisha ukuhakiki hapo kwenye daftari. Msije juta bure. CCM sio wazembe kiasi cha kufanya huu upuuzi.labda dj mangi ndo...
  2. Newland

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wa Bi. Ananilea Nkya Juu ya Lowassa Kuingia CHADEMA na Kugombea Urais

    twende tu ndugu yangu tutafika. hatakama sio leo ila dhamiri yetu halali juu ya safari hii ipo siku itatimia
  3. Newland

    JamiiForums Tanzania Mkimgusa Edward Lowassa mtasahaulika katika siasa za Tanzania!

    napata shida kufikiria
  4. Newland

    JamiiForums Tanzania Alichofanya Rais Kikwete Australia ni sahihi?

    hata mie nipeni hata kijiji tu muone ruti zangu. Msisahau kuwa mkwere zake ngoma....
  5. Newland

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    mwalimu yupo Califonia USA. Anataka kubadilishana na mtu aliepo tanzania arusha
  6. Newland

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefanya mapenzi na housegirl, sasa anataka zamu sawa na mke wangu

    . Kama ulimtawanya muunganishe sasa. We kwa nn ulimtawanya kabla ya muda.?
  7. Newland

    JamiiForums Tanzania Hivi ndio vyuo vya kata vya Tanzania

    teh teh! Ukiona wanaanza kujadili vyuo ujue hawana ajira! Mbona cc tumesoma vyuo vya kata lakin tuna GPA za maana na tumewapiga hatrick kwenye interview! Poor mind think no big! Halaf hii tabia nilikuwa nayo pr scool na nilisha iachaga tangu form2!
  8. Newland

    JamiiForums Tanzania ACT-Tanzania Haina Uadui Wala ugomvi na Chama Chochote, Hivyo hamna haja ya Kuiogopa!

    Mie nataka kujiunga! Nifuate hatua zip?
  9. Newland

    JamiiForums Tanzania Ajira za walimu 36,000 kumwagwa mwaka huu

    Taanza nia yetu yawakulimaa na wafanyakaziii! Enzi hiz pr scool! Tanzania itajengwa na wenye moyo! Haya twenden kijijini tukajenge nchi yetu! Tudumishe azimio la arachuga! Lakin kwa hizo shahada elfu tano za kijijini unategemea tufikie malengo ya millenia kweli? Haya twenden tufuate...
  10. Newland

    JamiiForums Tanzania Hati ya usalama wa moto

    Naomba msaada wa kisheria hapa. Hawa jamaa wa kikosi cha zima moto wanapita katika maduka hapa babati na kuwalazimisha watu watoe hela Tsh 40,000/= kwa ajili ya certificate ya usalama wa moto. Wanadai wanafanya hiv kulingana na sheria ya jeshi la zima moto na uokoaji Na 14 ya 2007, kifungu cha...
  11. Newland

    JamiiForums Tanzania Waingereza wamnanga Rais Kikwete!

    patriot patriot. Hii mizungu inaongelea juz wakati miaka kibao imekuwa ikichuma mali zetu bure na ndio chanzo cha haya.
  12. Newland

    JamiiForums Tanzania Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    zanzbar iz nat a safe place
  13. Newland

    JamiiForums Tanzania Full Text: Hotuba ya Edward Lowassa aliyotoa katika Uchangiaji wa Saccos ya CWT na Kukusanya 1.27bn

    mwakyembe nae tapeli tu. Kama unakumbuka alisema kuna mambo mengine hatujayasema kulinda heshima ya serikali. Heshima gani hiyo baada ya waziri mkuu. Kura yangu,na kura za familia yangu zote kwa lowasa. La sivyo kura zangu zote napeleka chadomo kwa silaa ingawa mimi mwana ccm.
  14. Newland

    JamiiForums Tanzania Gharama za uchaguzi wa kenya zatisha

    kwani tumesahau uchizi wa tbc jamani...
  15. Newland

    JamiiForums Tanzania Mchango wa Chomsky katika sarufi

    Wataalamu wa lugha na wadau wa elimu nawaomba mnidadafulie mchango wa Noam Chomsky katika sarufi ya kiswahili.
Back
Top Bottom