Recent content by newazz

  1. N

    GE2025 Mpina kwenda ACT Wazalendo ni Plan ya Samia, hii unahitaji kuwa na extra akili kujua hii move. Mpina ni project ya Samia

    Yaani wanaanda kuwapumbaza watu, kujifanya wanajua kila move ya watz.. Aliyopitia Mpina kwenye bunge yote ni maandalizi ya Samia? .... Liangalie jambo kwa urefu wake... Hizi ni cheap propaganda .... Wameona hawa ndio waliopo wanatafuta sababu... Kama vile kwa Polepole , ile barua ni feki...
  2. N

    Balile amesema waandishi wanaoikosoa serikali ni Vibaraka wa upinde.

    Huyu jamaa aliwekeza sana kipindi kile , kama Lowassa angepata uraisi... Alivyokosa , jamaa alipauka sana, hata hali yake ilikuwa ngumu sana...... Sasa kapata shavu kwa awamu hii, ndio maana anawaona wenzake si kitu ...
  3. N

    Mwanamke akiweza kumiliki vitu hivi ni ngumu ndoa Kudumu

    Hayo mambo uliyoyataja kwa mwanamke akiwa nayo inakuwa hatarishi kwa ndoa, ni hayo hayo vile vile mwanadamu akiwa nayo, hataki mahusiano na Mungu !
  4. N

    Nataka nikope benki niwekeze UTT

    Kwa ufupi interest ya benki , itazidi faida ya interest utakayopata UTT. Hivyo hilo wazo halitekelezeki kwa faida..
  5. N

    Nipo Afrika Kusini mwaka wa 6 huu binafsi maisha ya huku sijayaelewa

    Umewaza vyema, rudi nyumbani.. Toka huko kwa mjomba Labani, uanze kutumikia mji wako mwenyewe..
  6. N

    Makanisa yanalipa sana! Pastor Tonny Kapola anunua eneo kwa dola milioni tatu Mwenge kwa ajili ya kujenga Kanisa

    Wewe umeusoma mchezo mzuri, chanzo huwa ni huko, ila unatakiwa na kakitu fulani ka kudanganyia hasa wakristo, halafu unapewa pepo ya mabwege.
  7. N

    Hivi mtu na akili zako timamu unawezaje kufanya kazi ya malipo laki na hamsini Kwa mwezi

    Mtu kulipwa kiwango hicho cha mshahara, kinaashiria tatizo kubwa zaidi kwenye jamii yetu.. Watoa huduma, unafikiri hawatawaweka watu wa vipato hivi kwenye mipango yao ? Serikali yetu inapoongelea dira ya 2050 , imewajumulisha na makundi haya ya watu ??? Usifikiri hili ni tatizo lake tu ...
  8. N

    Matoleo ya baiskeli Tanganyika

    Hiyo Phonex gani Jamani ????
  9. N

    Kwanini huyu Msanii aliruhusiwa kuingia Ubalozini?

    angekuwa si chawa, asingeruhusiwa period
  10. N

    Natafuta mwanaume wa kunioa

    Miaka 33 ni umri mzuri, ambapo mwanamke anakuwa amepata ufahamu wa kutosha kuhusu ndoa, maisha na kila kitu... Ingawa mimi si mmoja wapo, ungekuwa tayari kimawazo au kutarajia kupata na kulea watoto haraka haraka, endapo neema ya Mungu ipo.. Ni Hayo....
  11. N

    Salimu Kikeke kiukweli maisha hayakumuendea vizuri

    Kweli BBC ilimbeba, ukimweka yeye kama yeye , mwisho anaangukia hapo alipokwenda .....
  12. N

    Kuna jamaa kila nikinunua kitu kwake, ananiongeza, nashindwa kumuelewa kabisa

    umefanya uchunguzi ni wewe tu anakuongezea vitu au kuna wengine? Pengine ni tabia yake kwa wateja wake ... Chunguza kama ni wewe na uangalie anaongezea wa jinsia ipi?
  13. N

    Asili, koo, desturi na utamaduni wa wangoreme

    Asante kwa bandiko hili zuri... Kama una kitu chochote cha ngoreme , mfano wapi pa kupata vitabu au machapisho yoyote online au offline ... itakuwa msaada zaidi.... Shukrani kwa andiko hili ambalo limejitosheleza sana
Back
Top Bottom