Recent content by nevoutreach

  1. nevoutreach

    Mafunzo ya ufundi simu na TCRA

    It sound better for the advancing technologies
  2. nevoutreach

    Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

    Kweli aisee kila wiki buku tano kila jumuiya haitatosha.... maaana ni shiiiidah
  3. nevoutreach

    Wachaga noumer

    Haa haa
  4. nevoutreach

    Tracing Macbook apple

    Kaka wengi hawakumbuki kuweka ...
  5. nevoutreach

    Je, Magufuli atakuwa mgombea wa kwanza kutoka CCM kupoteza uchaguzi?

    Kaka Idegenda nchi yetu ni sipo majority! Hata akimpita kwa kura moja kaseeepa huyo. KATIBA PENDEKEZWA ndio ingeweza fanya hivyo kwa ilisema laxima apate Zaidi ya 50%+ 1. MAANAKE USIPOFIKIA WALE WAWILI WANAPIGIWA KURA TENA!
  6. nevoutreach

    Sikubaliani na hoja ya Lowassa Kujiengua CCM na Kujiunga CHADEMA/UKAWA

    Kaka Mbalinga soooo briliant! Hiyo ndio sulihisho kwa sas!. Mfumo ndio unaweza kutenganisha Fisadi na Asiye Fisadi. Je mmesoma Gazeti kuhusu Rais wanaoliopwa Zaidi Afrika? Namba Tani yupo Kikwete Je huu sio ufisadi kulipwa Dola 190,000+ wakati Taifa lako watu wake maskini wa kutupwa? Mwenzake...
  7. nevoutreach

    Hotuba ya Rais Kikwete kuliaga Bunge - 09, Julai 2015

    Jamen mnajua Jaji ni nani? Haiwezekani kuwa 1,266 nina mashaka na utafiti wako! Unajua gharama za jaji! Fikiria Ulinzi na huduma nyingine!
  8. nevoutreach

    Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

    Jaman Hebu tusaidiane kuelimisha watu! Kuwa na wabunge wengi inasadia 50% 50 kuondoa ubwenyenye wa CCM. Hebu fikiri changamoto zinazotoelewa na upinzani au hebu vuta picha wakati wabunge wakiingana kusemea hoja fulani Serikali inavyo haha! Je tukipata hiyo 50%50 si nchi yetu itasonga mbele...
Back
Top Bottom