Hotuba ya Rais Kikwete kuliaga Bunge - 09, Julai 2015

1. Mazingira ya Kisiasa visiwani Zanzibar yamekuwa bora kuliko awali kabla ya Muafaka kati ya CCM na CUF


2. Nchi yetu iko salama, mipaka iko salama. JWTZ imefanya kazi na Jeshi letu limeimarishwa nyanja zote, Jeshi letu lina utayari wa kivita kwa kiwango cha hali ya juu. Weledi umepanda kwa kiwango kikubwa


3. Demokrasia, imeimalishwa mpaka kufikia hatua wanasiasa wanaandamana, wanatoka nje ya Bunge.


4. TAKUKURU imepewa meno ya kudhibiti na kupambana na Rushwa. Ina ofisi kila Mkoa na kila Wilaya


5. Mafanikio makubwa, mapato ya Serikali yameongezeka. Bajeti ya Serikali imekuwa mara 5 ya mwaka 2005 ilivyokuwa, Tumepunguza utegemezi wa misaada katika Bajeti toka 42% hadi 8% kwa kusimamia ukusanyaji mapato, Pato la Taifa limekua kwa 7%, Tanzania ni miongoni mwa mataifa 20 Duniani yenye uchumi unaokua kwa kasi IMF wanasema Pato la Tanzania ni kubwa kuliko walivyodhania. Tumebakiza kidogo sana kuingia kwenye Nchi za Pato la Kati .


6. Taarifa za CAG zinapewa uzito mkubwa na hatua huchukuliwa. POAC/PAC imefanya kazi nzuri. Pale inapobainika kuna wizi, hatua za haraka kuwajibisha wahusika zinachukuliwa hata bila kusubiri kuwasilishwa Bungeni.

7. Hati zimeongezeka Serikalini tokana na utendaji mzuri wa Ofisi ya CAG pia imejili vijana wenye CPA zaidi ya 780 na kuwasambaza nchini.



8 Ongezeko la Majaji wa Mahakama ya Rufani toka 8 hadi 16. Majaji wanawake wameongezeka toka 8 hadi 37 majaji wakazi 1,266 na kati yao majaji wanawake ni 534 mrundikano wa kesi utakuwa historia katika muda mfupi ujao tokana na ongezeko la majaji na mahakimu.


9. Ujenzi wa Mahakama kila Mkoa unaendelea katika Mikoa 9. kutenganisha kazi ya Upelelezi na Kushtaki


10. Kila mwaka tumeongeza kima cha chini cha mshahara toka TZS 65,000/= (2006) hadi TZS 300,000/= (2015)


11. Vyuo vikuu kulikuwa na wanafunzi wa kike 10,000+ mwaka 2005 na sasa wamefikia 78,000+,Idadi ya wabunge wanawake imeongezeka toka 62 hadi 127 sasa!

Itaendelea
 
Kijana ukipewa kazi unapewa na targets za kufikia. Sasa huyu kafanya 70+% na hajafika 100%. Huhitahi kumpongeza kwani hajameet targets
 
Pia nachokumbuka kingine ni uimarishaji wa viwanja vya ndege!Mwanza,Kigoma,Mbeya,Dar es salaam ujenzi wa Terminal 3 To mention a few mengine ntakuja kuchangia!
 
Maisha ya wananchi yameboreka sana. Maana uchumi umekua....na nchi yetu kwa sasa sio masikini tena..shilingi imeimarika pia bajeti yetu haitegemei tena wahisani... Ahadi ya kilimo kwanza ameitimiza kama alivyoahidi...ufisadi umeisha katika kipindi cha uongozi wake....hongera J.K.. .nitakuja kumalizia zilizobaki...
 
Ushiriki wa Tz katika
mission za kimataifa
Mie nakumbuka Kamandi
za JWTZ zinapasua anga DRC, sudan
na Huko Lebanon kimataifa zaidi
masuala ya peace keeping!
 
Uhuru wa maoni
umeongezeka sana
tena mi mwenyewe
naweza kucomment
hata kitu negative kwa Rais
wangu tofauti na nchi nyingine!!
 
Jamen mnajua Jaji ni nani? Haiwezekani kuwa 1,266 nina mashaka na utafiti wako! Unajua gharama za jaji! Fikiria Ulinzi na huduma nyingine!
 
Anastahili pongezi kapambana vya kutosha!Barabara zimejengwa!

Nyingi ya hizo barabara zimejengwa chini ya kiwango na zimeshakuwa mbovu au kuchakaa kama vile zina miaka 20+. Nimepata barabara ya Dar-Mtwara wiki iliyopita, nimesikitika hadi nimeona huruma; bahati nzuri watu wa kule walikuwa hawajawahi kupata lami, kama ingekuwa Mbeya au Arusha, wangeandamana kupinga barabara za chini ya kiwango.

Vv
 
Muhimbili operates on 66 heart patients in 7days.

Saves Sh1.3bn, Emerges strongest among EA public hospitals.
JK-Mtoto-16May2015%281%29.jpg

President Jakaya Kikwete visits six year-old Habiba Khalfan Lipande at Muhimbili National Hospital after surgeons successfully treated her by plugging a vent in her heart using the new technology which needs no open surgery. Habiba comes from Mavumba village in Morogoro Region. (Photo: Freddy Maro of State House)


The Cardiac Centre at the Muhimbili National Hospital (MNH) has succeeded in filling holes in patients' hearts by using a special device without opening up the chest as is usually done, medical reports at the MNH have confirmed.

Dr Hussein Kidanto, acting director general of the hospital, said that the use of special devices to treat heart ailments started last months, with 18 patients put to scanning on heart blood vessels and four being treated of blocked vessels.

A major treatment was to fill up a hole in the heart to allow blood vessels to reach a hole, which some infants are born with such a condition, he said.

In conducting those operations, specialist doctors at MNH worked with visiting heart specialists from the Prince Sultan Cardiac Centre in Riyadh, kingdom of Saudi Arabia, who paid a medical visit at the national facility from May 8 to 16, invited via the good offices of Muntanda Islamic Trust of Britain.

Soma zaidi: Home

Sasa sema uliyaona hayo kabla ya Kikwete? unajuwa ni nini hicho?


DSC03097.jpg
 
Muhimbili operates on 66 heart patients in 7days.

Saves Sh1.3bn, Emerges strongest among EA public hospitals.
JK-Mtoto-16May2015%281%29.jpg

President Jakaya Kikwete visits six year-old Habiba Khalfan Lipande at Muhimbili National Hospital after surgeons successfully treated her by plugging a vent in her heart using the new technology which needs no open surgery. Habiba comes from Mavumba village in Morogoro Region. (Photo: Freddy Maro of State House)


The Cardiac Centre at the Muhimbili National Hospital (MNH) has succeeded in filling holes in patients' hearts by using a special device without opening up the chest as is usually done, medical reports at the MNH have confirmed.

Dr Hussein Kidanto, acting director general of the hospital, said that the use of special devices to treat heart ailments started last months, with 18 patients put to scanning on heart blood vessels and four being treated of blocked vessels.

A major treatment was to fill up a hole in the heart to allow blood vessels to reach a hole, which some infants are born with such a condition, he said.

In conducting those operations, specialist doctors at MNH worked with visiting heart specialists from the Prince Sultan Cardiac Centre in Riyadh, kingdom of Saudi Arabia, who paid a medical visit at the national facility from May 8 to 16, invited via the good offices of Muntanda Islamic Trust of Britain.

Soma zaidi: Home

Sasa sema uliyaona hayo kabla ya Kikwete? unajuwa ni nini hicho?


DSC03097.jpg

Huo ndo mpango mzima mambo ya kwenda India tena yataisha sasa kwa hili kwa nini JK ASIPONGEZWA!!!Bravo Amiri Jeshi Mkuu pamoja sana!
 
Mafanikio mazuri na mskubwa ila wasi wangu ni vipi hivyo vifaa vitaweza kutunzwa na pia morale ya madoktari iko chini kwa kuwa wanalipwa mishahara midogo sana na hii sio hoja yangu inatoka kwa mkuu wa kitengo cha moyo muhimbili Dr. Mohamed Janabi alipo toa maelezo haya wakati wa uzinduzi wa kitengo
 
Back
Top Bottom