Recent content by Neverdie

  1. Neverdie

    Elimu bila malipo imekufa kimyakimya

    Tena ni mateso makubwa mno ambayo yamekuja muda ambao pesa ilikuwa inahitajika sana kwa ajili ya kugharamia usimamizi wa mitihani ya kitaifa kidato cha pili na cha nne. Watu imebidi wakope na wenye unafuu wametumia pesa zao za mfukoni
  2. Neverdie

    Je, Polisi washitakiwe kusababisha vifo kizembe vya random shootout? RIP Aqulina Akwilini, Baftaha, She is an Angel!

    Sheria iko wazi sana kuhysu hili,kila mtu ana bima ya maisha ambayo ina thamani ya pesa za kitanzania milion 200 au kifungo cha maisha jela kwa mtu au kundi lililotekeleza mauaji hayo. Hivyo kwa sababu hatutaweza kuwafunga jela maisha polisi wote walikuwa mahali pale,inabidi maboss waliowatuma...
  3. Neverdie

    Ufunuo wa anguko la uharibifu

    MPAKA SASA HUWA NAFIKIRI SIPATI JIBU...LABDA UNIFUMBUE MAANA YA HUYU JAMAA KUTEMBEA BILA VIATU JUU YA ARDHI YA TZ!!
  4. Neverdie

    Tupe ushuhuda wa mapenzi yako hapa

    Mimi nina mke nampenda sana ila nikikupata hata wewe ntakupenda pia maana natafuta mke wa pili sasa hivi. Ninaahidi nitawapenda wote
  5. Neverdie

    Mmiliki halali wa mtoto ni mama au ni baba?

    Sana sana mtoto ni wa mama .....baba ni jina tu unaweza ukakuta kwanza baba mwenyewe anasingiziwa tu
  6. Neverdie

    Member gani JF ungependa kuwa nae siku ya Valentine day?

    Mimi mgeni humu sijui ntapata?
  7. Neverdie

    Msimu wa mapenzi mubashara: Valentine's Quotes

    Duuh awamu hii lazima nimpate wa kumtoa out.... Haiwezekani kila muda ukikaribia mpenzi wangu anaaga eti anawahi chuo.
  8. Neverdie

    Heko Mhimili wa Mahakama, Mhimili wa Bunge nao ufuate nyayo

    Mahakama ikiamua inaweza kujisimamia ila bunge haitatokea
Back
Top Bottom