Ufunuo wa anguko la uharibifu

Ufunuo wa anguko la uharibifu

Hakika..!!! Inahitajika toba ya nguvu
Utubu kwa kosa lipi labda la kuiweka Sisiemu madarakani kwa maana ukitazama tawala zote zilioandikwa na mleta mada, Sisiemu is the common intersection ukiacha kwamba wote ni binadamu...

Hao mabwana waliikabidhi nchi yako kwa miungu ya dunia hii, katika ulimwengu ambao wasio haki huuendea...

Ushahidi wa yote hayo upo katika matamshi ya hotuba kadha wa kadha zilizopo maktaba, wahusika wakieleza kwa namna mbalimbali ambavyo walivyozikwa na mbuzi wakiwa wazima, walivyolala juu ya makaburi n.k na yote hayo yalifanyika kwa niaba ya NCHI...

Hivyo hatma ya nchi ilishajengwa juu ya misingi ya tawala za giza ambazo lazima ziendelee kulipwa sadaka...
 
Utubu kwa kosa lipi labda la kuiweka Sisiemu madarakani kwa maana ukitazama tawala zote zilioandikwa na mleta mada, Sisiemu is the common intersection ukiacha kwamba wote ni binadamu...

Hao mabwana waliikabidhi nchi yako kwa miungu ya dunia hii, katika ulimwengu ambao wasio haki huuendea...

Ushahidi wa yote hayo upo katika matamshi ya hotuba kadha wa kadha zilizopo maktaba, wahusika wakieleza kwa namna mbalimbali ambavyo walivyozikwa na mbuzi wakiwa wazima, walivyolala juu ya makaburi n.k na yote hayo yalifanyika kwa niaba ya NCHI...

Hivyo hatma ya nchi ilishajengwa juu ya misingi ya tawala za giza ambazo lazima ziendelee kulipwa sadaka...
Matokeo ya madhabahu za giza walizojenga tangu enzi na enzi... Zikifuata mkondo ule ule na kudai Makafara ya damu kwa kila zama
 
Taharuki na kichokoo cha yote haya ni pale baada ya kutangazwa mshindi wa kiti cha nafasi ya juu... Na yule wakala aliyekuja nchini akakanyaga ardhi yetu bila viatu
Sasa Mshana Jr, tufumbue macho kidogo kuhusu lengo la ujio wa Wakala yule kwetu. Tena bila Viatu!!!????
 
Endelea kuwapa watu tumaini inawafaa vipofu..i
 
Taharuki na kichokoo cha yote haya ni pale baada ya kutangazwa mshindi wa kiti cha nafasi ya juu... Na yule wakala aliyekuja nchini akakanyaga ardhi yetu bila viatu
MPAKA SASA HUWA NAFIKIRI SIPATI JIBU...LABDA UNIFUMBUE MAANA YA HUYU JAMAA KUTEMBEA BILA VIATU JUU YA ARDHI YA TZ!!
 
Utubu kwa kosa lipi labda la kuiweka Sisiemu madarakani kwa maana ukitazama tawala zote zilioandikwa na mleta mada, Sisiemu is the common intersection ukiacha kwamba wote ni binadamu...

Hao mabwana waliikabidhi nchi yako kwa miungu ya dunia hii, katika ulimwengu ambao wasio haki huuendea...

Ushahidi wa yote hayo upo katika matamshi ya hotuba kadha wa kadha zilizopo maktaba, wahusika wakieleza kwa namna mbalimbali ambavyo walivyozikwa na mbuzi wakiwa wazima, walivyolala juu ya makaburi n.k na yote hayo yalifanyika kwa niaba ya NCHI...

Hivyo hatma ya nchi ilishajengwa juu ya misingi ya tawala za giza ambazo lazima ziendelee kulipwa sadaka...
Sio kila suala lazima lijadiliwe kisiasa kuna mambo mengine lazima tuyajadili kiimani zaidi kwa sabab unaposema chanzo cha yote ni CCM je hayo mengine yanayoendelea huko Libya chanzo chake ni CCM..??? Yanayoendelea sehem mbalimbali za dunia ni kwamba Shetani anatumia viongozi wetu ili kuzimu kupate kushiba lkn kama alivyosema Mshana Jr ni kuwa kuzimu hakujawahi kutosheka.
 
Bado sifahamu kazi ya USALAMA WA TAIFA ni nini hasa?

watu wana tekwa, wanateswa na kuumizwa vibaya, maiti zinaokotwa Coco beach ni aibu hata kuzungumzia.

Ni nini kazi ya USALAMA WA TAIFA hasa?

Au ndio kutimia kwa vitendo kwamba NCHI IMESHIKWA NA WASHAMBA kama alivyosema Zitto Kabwe?

Au na USALAMA WA TAIFA nao hawafanyi kazi zao mpka kibali cha Police?

Hivi tuna jeshi dhaifu kiasi gani kushindwa kuwadhibiti hawa watu mnaowaita WATU WASIOJULIKANA!!?

Anyway, lakini huko tunakoelekea nadhani na hii nchi nayo itakwa tu, maana hawa wasiojulikana inaonekana wana nguvu na akili nyingi sana kuzidi majeshi yetu.

Ok, lakini kumbukeni kwamba kuna Half Time tutabadilishana tu magoli, wakule watakuja huku, na huku wataenda kule, hapo ndipo mtakapoijuwa ile hadithi ya Kenneth Kaunda na Levy Mwanawasa, au ile ya Thabo Mbeki na Jacob Zuma.

Aliyejiita Super Woman leo analia lia tu,

Mchunga kondoo ndiye aliyemuua Jeneral wa Vita tena kwa jiwe moja tu.

Haya bhana, ngoja nipige kimya maana mdomo unaponzaga kichwa japo sina uhakika na hili.

Nissan nyeupe ileeeee... ngoja nijifiche.
Taifa zima linalia
 
Tatizl kubwa ni kwa binadam kutoitambua kesho yake ikoje! Wanaopotea walau wanajua waliko sasa hivi! Giza kuu ni kwa wale wanaowapoteza na kuwanyamazisha wenzao, hofu yangu ni moja tu, wanaijua na kuitambua kesho yao itakuwaje? Au wamepigwa upofu ili maandiko ya manabii na mitume yatimie!!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom