Mallia
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 437
- 1,532
Eti kwanini wanaume ndio huwa wanapewa asilimia kubwa kama wamiliki wa watoto wanao zaliwa? Ikitokea mimba mwanaume ndio anapewa lawama za kwanza na majukumu yote ya kulea mtoto kama mhusika mkuu na watoto huwa tunawaambia wanaume kwamba tuna mimba zao.
Lakini kibaolojia inasemekana kuwa yai la baba linapokutana na yai la mama na kuungana ndio hupatikana mtoto so mtoto kumbe ni wa watu wawili baba na mama sasa kwa nini watoto majina yao ya mwisho huwa ni ya wazazi wao wa kiume na sio wa kike? Kwanini watoto wengine huwa wanafanana na mama zao kuliko hata baba zao je nani ni mmiliki halali wa mtoto?
Mama na mtoto
Lakini kibaolojia inasemekana kuwa yai la baba linapokutana na yai la mama na kuungana ndio hupatikana mtoto so mtoto kumbe ni wa watu wawili baba na mama sasa kwa nini watoto majina yao ya mwisho huwa ni ya wazazi wao wa kiume na sio wa kike? Kwanini watoto wengine huwa wanafanana na mama zao kuliko hata baba zao je nani ni mmiliki halali wa mtoto?
Mama na mtoto