Huyu nyangumi nibalaa, ilanataka ufafanuzi wa kina umesema nyangumi anaishi miaka 200 na kwa lisaa anaongezeka kg3. 7 huoni kwakipindichota atakachoishi atauwa na zaidi ya tani laki 76723200? Na vp uume wake km korodani ni kubwa kiasi hicho? Mimba anabeba kwa muda gani?
Kuna jambo linalonishangaza sana juu ya hii TRA na wafanya biashara. TRA wanajitahidi sana kukusanya kodi na kujisifu kuwa wamekusanya kodi kubwa kwa kipindi kifupi.
Hakika kama wangefuatilia baadhi ya wafanyabiashara wasio waamifu watagundua kuwa hawafanyi chochote.
Rais Magufuli alisema...
Inawezekana. Km unafikiri kuwa wasichana wote wana tabia km zako unajidanganya sana. Ni kipimo gani unachotumia kuwapima km wanayo au LA! Na kwatabia yako hutakaa ukilutane nayo.
Nyie watu. Nani aliewaloga? Hiyo anointing mnayoitafuta kwenye Maji ni yanamna gani na nikwanini iwepo kwenye Maji ya Tb Joshua? Mtegemee Roho mtakatifu ndie Maji yako yenye nguvu za uponyaji. Km unauwezo wakulipa $50 kwaajili ya Maji zitoe sadaka kwa wahitaji na umuombe Mungu atakufungulia...
We unaongelea kodi za kumbi za starehe tu. Hujaona kodi za nyumba. Wapangaji wanalipa hela nyingi sana kwaajili ya nyumba walizopanga. Nu shilinhi ngapi Tz inapoteza. Huyohuyo anaelipwa anailalamikia serikali kuwa ni wezi,Mara wanasamehe kodi kitendo kinaipotezea nchi mabilions ya mapene. Yeye...
Walijikaanga kwa mafuta yao wenyewe. Walidhani miaka yote itabaki palepale na ufisadi wao. Na bado. Mm c ccm ila kwa hiz cku chache namkubali,ila haijawa kipimo cha utendaji wake kipimo miaka miwili akiendelea HV! Tz itanyooka. Hawapumui!!!!!
Swala LA ukabila na ukanda su jambo lakuongelea, Nenda duniani kote eneo ambalo anatoka mgombea Fulani anapata kura nyingi kuliko wenzake. Kwahiyo usije shangaa wasukuma wako sawa. Mm c ccm ila hiyo ni hali halisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.