Recent content by NELSON M L KEBEYO

  1. NELSON M L KEBEYO

    Nchi zipi tunazoruhusiwa kuingia bila ya Viza Watanzania?

    Ushauri wangu kwako Kama umechoka kuishi na kupambana na life ukiwa Tz bora uende South Africa ambako kwanza ni jirani na Tz pili kuna fursa nyingi kuliko huko Mozambique ulipokuwa tatu ukishindwa huko ni rahisi kurejea nyumbani hata kwa bus au Lori na mwisho bado utakuwa uko Africa hata...
  2. NELSON M L KEBEYO

    Ajali Tabata, Dar: Mwandishi Mariam Mziwanda wa Gazeti la Uhuru anusurika kifo. Akimbizwa Muhimbili

    Ni ajari niliyoikuta maeneo ya Tabata majira ya saa sita kasoro usiku huu wa Feb 22, 2018 Majeruhi ni huyo aliyekuwa kwenye gari dogo lililo katikati ya hayo maloli na inasemekana ni mwandishi wa habari wa gazeti mojawapo hapa nchini na alikimbizwa Hospitali ya Muhimbili. Naona ni Mungu ndo...
  3. NELSON M L KEBEYO

    Lema: Nawatakia kila la heri madiwani waliohama na kujiunga na CCM

    Kwa mawazo mgando kama haya chadema itakufa soon. Badala ya kurekebisha kasoro kila siku mnasema wamenunuliwa.
  4. NELSON M L KEBEYO

    Mhubiri wa Kimataifa Billy Graham afariki dunia akiwa na miaka 99

    Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe. Amina
  5. NELSON M L KEBEYO

    Mc Pilipili: Gwiji la VICHEKESHO DUNIANI akiwa London

    Ukijua alipotoka HUTOSITA KUMPONGEZA.
  6. NELSON M L KEBEYO

    Tahrir Square ya Tanzania

    Jitahidi sana uandike wosia kabla hujaandamana. Pia usisahau kuandika orodha ya wanaokudai. ..........Ahsante kwa kuelewa..........
  7. NELSON M L KEBEYO

    Natafuta wa kunipoza machungu niliyonayo

    1. Miezi 6 huna mahusiano. 2. Huyo ulokuwa naye walirudiana na mwenzake mwezi wa nne Mpaka leo ni miezi 10 . 3. Unataka wa kukupoza au wa kuanzisha naye mahusiano? Maana kichwa cha habari na paragraph ya mwisho vinapingana. 4. Uliwezaje kukaa kwenye mahusiano miaka 4 pasipo kugundua...
  8. NELSON M L KEBEYO

    Mume anahitajika

    Subiri watakuja wakiamka
  9. NELSON M L KEBEYO

    Kwanini Majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yakiwa chini ya Watu wa Mara yanakuwa Imara na Kabambe?

    Ukienda likizo nyumbani ukaulizwa unafanya kazi wapi? Ukajibu:- nafanya kazi Benki Mzee atakuuliza Benki ni jeshi gani hilo???
  10. NELSON M L KEBEYO

    Nataka kwenda Ukraine nimepata mchongo, naomba ushauri kwa wanaopajua vizuri

    We nenda kwanza, yakikushinda unarudi. Pia kumbuka miluzi mingi humpoteza mbwa-take care
  11. NELSON M L KEBEYO

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    We mtoa mada ni mchonganishi. Naendelea kutafakari kwa nini umeamua kuchonganisha watu na serikali yao pendwa. Huwezi ukabadilisha jina kirahisi. Mchakato wa kubadili jina huchukua miezi si chini ya mitatu na kuendelea maana lazima jina hilo litolewe kwenye government gazette kitu ambacho si...
  12. NELSON M L KEBEYO

    Je, toyota IST inafaa kwa safari za mkoani?

    Toka Dar to mwanza ni km 120????? Dunia imezungukaje hivyo????
  13. NELSON M L KEBEYO

    Style mpya ya harusi: Mualikwa kufika ukumbini na pesa ya chakula na vinywaji

    [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Back
Top Bottom