UKWELI ni kwamba hili suala hajalifikisha mahali HUSIKA. huku amekuja kusimanga. na kama anasoma post yangu, namshauri aachane na mambo ya watu. yeye mwenyewe anayo mengi ya kuacha na ya kufanya pia
"Mzee wa watu katoa kiasi cha mboga kulingana na uwezo wake,
Kashangaa? Kuona anakula vitu vya bei ya juu,
Kuliko gharama alizotoa" ..... haka kanyimbo alikaimba nani na kanaitwa jee?
hey, what I know is km hakufanikiwa kutengeneza credit (grade C) combination ya masomo ya masomo ma3 ni dhahiri hatochaguliwa. wanachokifanya ni kwamba ktk C tatu za mdogo wako ili afanye km school candidate NI LAZIMA ktk masomo ma3 ya combination, mawili awe na "grade C". mfano PGM, lazima...
Habari zenu! Ningependa kuuliza kwa hawa wataalamu na wanaosoma ICT. vyuo accredited by NACTE vinatutaka waombaji tuwe na maamuzi sahihi ya course sababu once umejaza course huwezi kuibadilisha mbeleni. Swali: kuna tofauti kati ya Computer science na Computer engineering?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.