Kwahiyo kiswahili siyo lugha ni mavi tu sindio? Badala ya kushawishi mataifa mengi yajifunze ksw we unaongelea kiarabu! Nan akaombe kaz kwa hao wabaguz wa rangi hivi hamjui kinachowakuta Dada zetu wanaopelekwa huko uarabun kufny kaz? MNA boa xn post zenu
Yaani Cjui umetumwa na nan! Mbn unapenda fujofujo na kuingilia kaz za watu.au we unataka urais? Haya sasa mwenzio ndo huyooo anashinda tuzo za fobes na hata wabongo msipo mpigia kura kenya ,Burundi, Rwanda,Uganda watampigia tu ndo uone maajabu hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.