Recent content by Negotiator

  1. Negotiator

    Nani Kasema Tibaijuka Kafukuzwa Uwaziri ?

    Ndugu MM, tukifikiri namna hiyo tutakua tumekosea. Alichoonyesha JK jana ni lugha ya kulazimika kumwondoa Tibaijuka baada ya yeye mwenyewe(Tiba) kushindwa kutoa maelezo ya kuridhisha kwake. it was an Ironic language. Natagemea siku za usoni atatangazwa waziri mwingine na au kufanyika mabadiliko...
  2. Negotiator

    Baraza la Mawaziri la GHETTO

    MF haiandikiki kwa kirefu hapa.
  3. Negotiator

    Swali la Ugomvi: Mliochagua CCM mnaona madudu yenu? Mnajisikiaje?

    Kuna haja ya kujiapiza, kwamba kwa hali hii mbaya tunayoishuhudia kisiasa, kiuchumi, kiuutamaduni na kijamii, basi kila anayechukizwa na ateketee na kibanda cha kura akiipigia tena kura CCM.
  4. Negotiator

    Bungeni: Lema awataja CCM kama waasisi wa udini nchini

    Hivi itakuwaje akiweza kuthibitisha? isije kua kama ile ya last time kuhusu waziri mkuu ambayo waliipotezea
  5. Negotiator

    Mabere Marando ni nani?

    wakuu naomba uchambuzi wa kina Juu ya mwanasheria huyu. 1. Alisomea sheria wapi na kuhitimu mwaka gani? 2. Yeye kutamka hadharani kua ni mwanausalama na athari zake kisiasa ndani ya chadema 3. Amewahi kufikia rank gani ndani ya usalama na operesheni alizoshiriki. 4. Mchango wake katika...
  6. Negotiator

    Ukweli juu ya m4c ya CHADEMA na sensa inayoendelea-ufanisi v/s kukubalika

    nimetafakari hoja au propaganda kama wengine wanovyoziita ya kuzuia mikutano ya chadema mpaka sensa itakapomalizika na kukubaliana na ukweli ufuatao; 1. kwamba serikali inatambua kua wakazi ambao maeneo yanataembelewa na M4C wako tayari kupuuzia zoezi la sensa na kuhudhuria maandamano na...
  7. Negotiator

    kutoka bungeni, my best quote of the day

    "Mwisho, Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inaitaka Serikali iwaeleze Watanzania juu ya hatua, kama zipo, ilizozichukua kuzuia ukiukwaji huu wa Makubaliano ya Muungano, Sheria ya Muungano na Katiba. Na mwisho, Serikali itoe kauli mbele ya Bunge hili tukufu kama - kwa ukiukwaji...
  8. Negotiator

    There is no way out: Just do it... wakamateni tu yaishe

    na ukizingatia tetesi kua hali ya dokta Ulimboka inazidi kuimarika basi ni utata mtupu. kwa kua rais alisema kama ni mtu wa serikali alifanya hivyo ni kwa utashi wake mwenyewe na sio kwa oda yake basi mbona pakuanzia tayari pamepatikana. wawakamate wahusika halafu rais ajikwepeshe kua hahusiki...
  9. Negotiator

    Wanajeshi kortini kwa ufisadi wa mabilioni

    Asante Mama Mdogo.
  10. Negotiator

    Wanajeshi kortini kwa ufisadi wa mabilioni

    Mkuu tuwekee majina yake yote na cheo chake tafadhali
  11. Negotiator

    Wanajeshi kortini kwa ufisadi wa mabilioni

    Mkuu anaitwa nani huyo
  12. Negotiator

    Assault on Dr. Ulimboka: Who Did It?

    Yawezekana wanafanya delaying technique mkuu, maana kwa yale tuliyosoma ni kua Ulimboka alimtambua mmoja wa wanatume ya kova kama muhusika katika utekwaji na mateso yake usiku ule. Hivyo wanajua wakikimbilia kutoa majibu ya kupikwa ulimboka atawaumbua na papo hapo kukiri kuhusika kwa serikali ni...
Back
Top Bottom