Ndugu MM, tukifikiri namna hiyo tutakua tumekosea. Alichoonyesha JK jana ni lugha ya kulazimika kumwondoa Tibaijuka baada ya yeye mwenyewe(Tiba) kushindwa kutoa maelezo ya kuridhisha kwake.
it was an Ironic language. Natagemea siku za usoni atatangazwa waziri mwingine na au kufanyika mabadiliko...
Kuna haja ya kujiapiza, kwamba kwa hali hii mbaya tunayoishuhudia kisiasa, kiuchumi, kiuutamaduni na kijamii, basi kila anayechukizwa na ateketee na kibanda cha kura akiipigia tena kura CCM.
wakuu naomba uchambuzi wa kina Juu ya mwanasheria huyu.
1. Alisomea sheria wapi na kuhitimu mwaka gani?
2. Yeye kutamka hadharani kua ni mwanausalama na athari zake kisiasa ndani ya chadema
3. Amewahi kufikia rank gani ndani ya usalama na operesheni alizoshiriki.
4. Mchango wake katika...
nimetafakari hoja au propaganda kama wengine wanovyoziita ya kuzuia mikutano ya chadema mpaka sensa itakapomalizika na kukubaliana na ukweli ufuatao;
1. kwamba serikali inatambua kua wakazi ambao maeneo yanataembelewa na M4C wako tayari kupuuzia zoezi la sensa na kuhudhuria maandamano na...
"Mwisho, Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inaitaka Serikali iwaeleze Watanzania juu ya hatua, kama zipo, ilizozichukua kuzuia ukiukwaji huu wa Makubaliano ya Muungano, Sheria ya Muungano na Katiba. Na mwisho, Serikali itoe kauli mbele ya Bunge hili tukufu kama - kwa ukiukwaji...
na ukizingatia tetesi kua hali ya dokta Ulimboka inazidi kuimarika basi ni utata mtupu. kwa kua rais alisema kama ni mtu wa serikali alifanya hivyo ni kwa utashi wake mwenyewe na sio kwa oda yake basi mbona pakuanzia tayari pamepatikana. wawakamate wahusika halafu rais ajikwepeshe kua hahusiki...
Yawezekana wanafanya delaying technique mkuu, maana kwa yale tuliyosoma ni kua Ulimboka alimtambua mmoja wa wanatume ya kova kama muhusika katika utekwaji na mateso yake usiku ule. Hivyo wanajua wakikimbilia kutoa majibu ya kupikwa ulimboka atawaumbua na papo hapo kukiri kuhusika kwa serikali ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.